Wakati mwingine inatokea tu pale ambapo unataka ushushwe sehemu ambayo gari haitakiwi kushusha abiria. Mimi kuna siku niliwahi waomba Rungwe wanishushe Eso badala ya kwenda hadi Stendi Kuu wakaniambia pale hawaruhusiwi kushusha labda nikae mlangoni then watapunguza tu speed kidogo ili nishuke.
Na kweli walivyofika wakapunguza speed huyo nikaruka zangu wakatambaa uzuri sikuwa na mizigo nilikuwa na begi moja tu la mgongoni ndiyo maana hata nao walikubali vinginevyo ukiwa na mizigo hawakubali kukushusha sehemu kama hiyo maana hekaheka za kushusha mizigo yako inabidi gari isimame kabisa.
Sasa kwenye hizi daladala za mjini ndiyo kabisa imekuwa kama mazoea abiria kuomba kushushwa sehemu zisizoruhusiwa tena unaweza kuta ndiyo wengi kuliko hata wanaoshukia kwenye vituo rasmi. Watu tumeruka hadi kwenye treni ile ya mjini Gerezani-Pugu ambayo kuteleza na kukanyagwa mguu ni dakika sifuri sembuse magari.








Napumzika tuKwanini unataka kuacha![]()
Aahh wewe kama hata kuogelea unaogopa sishangai ukiogopa na vitu vingine vya kawaida
Mdogo wangu umeshindikana
Unaruka kwenye magari??
Mimi bado sijajaribu huo mchezo.


Kuogelea unaona ni kitu cha kawaida eeh???Aahh wewe kama hata kuogelea unaogopa sishangai ukiogopa na vitu vingine vya kawaida![]()

🤩🤩🤩🤩🤩🤩💋
Eeh! Mkuu wangu..
Kipi ndugu??Good night mrembo....hii miguu imenikumbusha kitu
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Eeh
haya...Niambie neno moja tu nafsi yangu itulie
Kwani uongo





Nimeshaondoka mkuu

Karibu tena ukipata wasaa,pazuri sana haswa ukiwa umekuja kuenjoy![]()



