Muvi nilizowahi kuangalia cinema zote niliangalia kwenye mfumo wa 2D hapa kulikua na upande wanaonyesha kwa 2D pia sema wanaanza usiku. So mimi nikazama kwenye 3D kwakua inaanza saa 10. Haka kamiwani nitakatunza mwezi may panapo majaaliwa nitakatumia kwenye Doctor Strange
Oohh sema kwa Aura Mall huwa wanaonesha in 2D na Dar Free Market pia huwa wanaonesha in 2D. Mlimani City mara nyingi kama siyo zote huwa wanaonesha in 3D.
Sana yaani, shida yote hiyo ni kuvizia teuzi ili kama vetting hautafanyika vya kutosha jamaa wajichanganye PhD ya kusoma class miaka 4-6 na PhD ya Mchongo manake wote wataitwa Dr. 😀
Oohh sema kwa vile wewe umeenda Aura Mall huko huwa wanaonesha in 2D na Dar Free Market pia huwa wanaonesha in 2D. Tuliozoea Mlimani City kwenye ile the biggest screen in east africa mara nyingi kama siyo zote huwa wanaonesha in 3D.
Sana yaani, shida yote hiyo ni kuvizia teuzi ili kama vetting hautafanyika vya kutosha jamaa wajichanganye PhD ya kusoma class miaka 4-6 na PhD ya Mchongo manake wote wataitwa Dr.