Ni yeye Obadia mwasebwa (obby).
Kumbe kijana wa watu yuko safi kwa matumizi ya binadamu na anashawishi.
Sasa sijui hapo alipaka mafuta ya bunduki au oil lol.
Ni yeye Obadia mwasebwa (obby).
Kumbe kijana wa watu yuko safi kwa matumizi ya binadamu na anashawishi.
Sasa sijui hapo alipaka mafuta ya bunduki au oil lol.
Happy birthday Shangazi Maria Sarungi, kiukweli umekua mwanamke wa mfano sana katika uwanja wa Kupigania haki, historia itakukumbuka.View attachment 2048652
Tutangazie tu mama maana wanaudharau sana mkoa wetu eti kisa ghorofa lenye elevators liko moja tu wakati sasa hivi yako mawili. Mbeya yenyewe tu ilivyo geographically ni elevated region hivyo haupendezi kuwa na majengo marefu sana.
Wanyakyusa tupo wa Kyela na wa Rungwe mkuu. Mimi ni wa Kyela but nimeishi Mbeya mjini for more than three years na nimetembea wilaya karibu zote za mkoa wa Mbeya.