Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We mtoto umeweka avatar mwandiko huo niliouparaza kama bata
nimeumbuka mwenzio yaan, c nimeweka dp ktk pro ya tsup, na telegram, na nkaweka status, asa sijaficha hilo jina, nashangaa watu wawili wa class letu wanauliza kwan cocastic wa JF ndo wee? Nilinywea nipo mdogo km priton, yaan nmekataa sana.

Nkafuta haraka mno, maan najua ndugu zang weng wako huku JF, nashukuru wameona wachache,
 
nimeumbuka mwenzio yaan, c nimeweka dp ktk pro ya tsup, na telegram, na nkaweka status, asa sijaficha hilo jina, nashangaa watu wawili wa class letu wanauliza kwan cocastic wa JF ndo wee? Nilinywea nipo mdogo km priton, yaan nmekataa sana.

Nkafuta haraka mno, maan najua ndugu zang weng wako huku JF, nashukuru wameona wachache,
Haaa
Na hapo wambea wanaotumia gb watsap watakuwa wanaifaidi.
 
Nasubiri uselfike kwanza
Haya fanya mambo
Screenshot_2021_1218_115523.jpg
 
Back
Top Bottom