Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tena hapo camera iliyotumika haikuwa na quality nzuri; ni pazuri sana



Haha wala sijavutiwa na muonekano wake mkuu kwa sababu mimi sioni kama ni sifa sana mwanaume kuwa mzuri wa sura dogo kipaji anacho. Mimi kati ya Messi na Ronaldo namkubali Messi na wakati Ronaldo ndiyo ana muonekano mzuri.Ukiachana na hiko kipaji chake unachodhani anacho, usije kuwa na wewe umevutiwa na Uhandsome wake kama Saint Anne anavyosema
Sijui kwanini sisi Wanaume wenye sura ngumu hamtumpendi
Poor me na Sura yangu kama ya Remmy Ongala![]()
Ni watu tu wanawatibua halafu wanasikilizia mziki wakeNi wanyaki gani wanasemekana wakorofi, Tukuyu au...(nishasahau)
Mimi na ndumba uongo aiseeTwende Mwakani tukajaribu bahati yetu, you never know, huenda ukawa wakati wetu wa kuachana na Umasikini![]()


Ee wa TukuyuNi wanyaki gani wanasemekana wakorofi, Tukuyu au...(nishasahau)


Nakiona kijani kibichi

Nampenda kwa kuwa ni mtoto wa liverpool..Ukiachana na hiko kipaji chake unachodhani anacho, usije kuwa na wewe umevutiwa na Uhandsome wake kama Saint Anne anavyosema
Sijui kwanini sisi Wanaume wenye sura ngumu hamtumpendi
Poor me na Sura yangu kama ya Remmy Ongala![]()
Afu wewe, unacheka nini?
Afu wewe, unacheka nini?




Nijibu basi!!Ni watu tu wanawatibua halafu wanasikilizia mziki wake
Wakubwa wanafaidi sanaFundi rangiView attachment 2046058
Wakorofi ni wa UyoleNijibu basi!!
Safari njema dogoLeo twatoka nje ya Mji kidogoView attachment 2048333
🥰🥰🥰🥰 zmefiikaaaaaa bosslady
Usifananishe chips kuku kaka na vitu vya ajabu ajabu..in this world!Ok pilau kachumbari.
Mirinda nyeusi na chipsi kuku, na wali kuku kachumbari unachagua nini?



Kwanza nimeona usiku sana pale Anne anaandika zile shairi za kizungu!Mlongo na shos mbna hujaniwish b'day yangu?![]()