Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Dah hio picha nimeidownload chap...
Huu mwandiko jamani daahhTo my dearest dogolasView attachment 2048106
Kachumbari na pilau siyo na waliWe ni mzee wa biriani nakufahamu.
Kachumbari na wali unakula?
Ok pilau kachumbari.
Umenifanyisha mazoezi.
Nimejaza page nzima hahah!





upendo wako ni mkuu, nashukuru sana cc kipendhii.Jaman iv ukubwa wote huu, naitwa dogo aaah.unazingua dogo
![]()




Mlongo na shos mbna hujaniwish b'day yangu?



Tubadilishane miaka unajua sipendi ukubwa mieJaman iv ukubwa wote huu, naitwa dogo aaah.
Ngoja ulanzi unizeeshe niheshimike na mie,![]()
,Hivyo yaani,nikija kwako wala usihangaike na nyama michuzi looohNoma sana.
🤣🤣🤣Hivyo yaani,nikija kwako wala usihangaike na nyama michuzi loooh
Vile najisikia raha kuona mwandiko wangu ninaocharaza kama bata unapendwa

Tupia picha wamelalaKuzuri.
Vocha itaisha bana.Tupia picha wamelala
NitakupaVocha itaisha bana.







































































