Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Usianze kulia kupiga kimoja chali.
Usianze kulia kupiga kimoja chali.
Naona unakula chakula cha kibonge mchicha!
Kuzifuata!?Heee.. kwamba mi siwez kukuletea au we huwez kuzifuata?

Basi ye atakuleteaKuzifuata!?
Hapana
ISO anajua pa kuniletea.
Ndiyo ndiyoBasi ye atakuletea

Sawa sawa kunywa huna budi maana tutakuja TAG!Ndiyo ndiyo
Ukiniletea wewe pia siyo mbaya.
Ila kumbuka kuniletea ni jambo moja,mimi kunywa ni jambo jingine![]()
Huyu mlinzi au mnywa uji😂Mlinzi kalala..
View attachment 2048079
Nilisikia wanasema usiku tule vyakula vyepesi, au wenzangu mlisikiaje? 🤣Usianze kulia kupiga kimoja chali.
Karibu sana mkuu, we hulagi hivi?Naona unakula chakula cha kibonge mchicha!
Sisi mkoani huku tunahimizwa kushindilia usiku haswa ili kilimo cha watoto kizae matundaNilisikia wanasema usiku tule vyakula vyepesi, au wenzangu mlisikiaje? 🤣
Ni matumaini yangu hii itakuwa tamuSawa sawa kunywa huna budi maana tutakuja TAG!
Murua kabisa utainjoy sanaNi matumaini yangu hii itakuwa tamu
Yaani akikutazama utajua unatizamwa na simba jike. Ila mambo yake sasa hana tofauti na manunuHuyu mlinzi au mnywa uji😂
Basi mie nikiongozana na wadogo zangu,23 yrs,,,18yrs mie naonekana mdogo,basi wananiulizaga hivyo hapo dada yako wa kwanza ni yupi
nachekaga tu
Mie ndiyo kubwa lao



yaan mie nachukia aamkiwe dogo, afu mie siamkiwi daaah.Mlivyoijaza upepo.Murua kabisa utainjoy sana
Ndio nimesikia kwamba mnasonga ugali mdogo kwanza mkila ndio mnapata nguvu ya kusonga ugali mkubwa mle mshibe 🤣🤣Sisi mkoani huku tunahimizwa kushindilia usiku haswa ili kilimo cha watoto kizae matunda
AwwwTo my dearest dogolasView attachment 2048106





tanteeeeh moaaah 

