Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Ila jamani Jack ni pasua kichwa yule inahitaji uwe na moyo wa chuma
Tatizo ndoano yake mpya imegonga mwamba.



Ila jamani Jack ni pasua kichwa yule inahitaji uwe na moyo wa chuma
Tatizo ndoano yake mpya imegonga mwamba.



Wee tucheke endelea kula hayo madude ila mafuta yakikujaa yakaziba mishipa ya kiuno na kule somewhere ukaanza kupiga Za mchangani utakoma.Ndio nimesikia kwamba mnasonga ugali mdogo kwanza mkila ndio mnapata nguvu ya kusonga ugali mkubwa mle mshibe 🤣🤣
Mimi nilikuwa na moyo wa chuma bqadaye akauyeyusha.Ila jamani Jack ni pasua kichwa yule inahitaji uwe na moyo wa chuma![]()
Mimi nilikuwa na moyo wa chuma bqadaye akauyeyusha.


roho ya kutanga tanga inamsumbua huyo. Mpige maombiNishampigaroho ya kutanga tanga inamsumbua huyo. Mpige maombi
Umenifanyisha mazoezi.
Naona wote watatu mmeamua kunisemaNishampiga
Nimemgandishia kwako.

Nakusagia kunguni.Naona wote watatu mmeamua kunisema![]()
Doh nahitaji maombi kwakweliroho ya kutanga tanga inamsumbua huyo. Mpige maombi

Ina maana NaddySL nae kanitosa?mwaka bora uishe tuNakusagia kunguni.
Sure mkuu.Wee tucheke endelea kula hayo madude ila mafuta yakikujaa yakaziba mishipa ya kiuno na kule somewhere ukaanza kupiga Za mchangani utakoma.
Fact.
Hayo mafuta ndio kaburi lenu watu wa dar..ndio yanafanya mbugie kila mzizi mtakaoambiwa
Kwa huyo nimekusagia kunguni hadi basiIna maana NaddySL nae kanitosa?mwaka bora uishe tu
yaan mie nachukia aamkiwe dogo, afu mie siamkiwi daaah.



unazingua dogo
DaaaahKwa huyo nimekusagia kunguni hadi basi

Shemeji kama shemeji

Karibu sana ugali kachumbari.Shemeji kama shemeji![]()
Kitu siwezi kula ni kachumbari Na ugali,sijui na kabichi loooh vilinishindagaKaribu sana ugali kachumbari.
We ni mzee wa biriani nakufahamu.Kitu siwezi kula ni kachumbari Na ugali,sijui na kabichi loooh vilinishindaga