Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,970
- 177,190
Nja kuija bambi! Afu olubuto lunuma mukwano!Ndiwanooo , nkwagalaaaa nyo nyooo
Nja kuija bambi! Afu olubuto lunuma mukwano!Ndiwanooo , nkwagalaaaa nyo nyooo
Napenda natural hairUsingizi umekataView attachment 2046660

Mwee kumbe na wasukuma mna "nkamu" na "ndaga fijo"Wasukuma sisi huwaga ni salamu tu (wabeja nkamu, ndagafijo basi tunamaliza). Hawa sasa mbebishano mzima siku tatu sasa non stop. Jizazi![]()


..View attachment 2047093
Jumaa Mubarak
Nawatakia safari njema


Janguuu wanooo....olutubo lunuma ? Badee opate akadagaraaaNja kuija bambi! Afu olubuto lunuma mukwano!
Bulungi nnyoUsuuze otya ssebbo!!
Inapiga viungoHoma hii mbaya sana .
Ugua pole .



Nenda kajionee nyanda za juu kusini jinsi ilivyoning'inia milimani na kulivyo na vyakula vya kumwaga kwa bei nafuu.Sio kwa kupasifia huko!!!!Ngoja tukajionee wenyewe
Tumebeba...hopefully yanatosha.
Mmepanda bus gani?
Uko kama mieMkoani..Situ ya mbele kabisa ili nione Miti inavyorudi nyumaView attachment 2047139
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app


Naenda leo.Fanya uende hospitali na usichukulie poa. Upone haraka!
Nipo fresh


Inapiga viungo
Hadi mifupa inauma,,
Usiku vipanadol havifui dafu,,joto linapanda tu.
Mbaya zaidi imenikuta wakati tayari homa nyingine imekolea(kifua)
Basi huo mchanganyiko![]()
Mwee pole sana mdogo wanguNaenda leo.
Jana ningeenda wangenilaza bila shaka na mimi sitaki kulazwa.


Jangu mpeko dagala dokta!!Janguuu wanooo....olutubo lunuma ? Badee opate akadagaraaa