Kwa pm iko vyed kabisa
Kuna kipindi app ilizingua upande wangu nikaomba msaada kwa Max akanielekeza kudowlod hiyo jf mpya kwa browser mweeh nilivo na kichwa kizito nikabaki kuona maruwe ruwe
Nikafanikiwa kudowlod hatimae, ila kwenye kuitumia sasa..... Cha
Nikaona tabu yote yanini nikajipoteza jf
Ila nashkuru now app imerejea fresh ile browser natumia mara chache sana hasa kwenye kujibia pm