Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Yeah voda speed yake ndiyo inafanya watu wasiihame hata kama vifurushi vinaumiza. Mambo mengi muda mchache masuala ya kukaa unasubiri mtandao uload kama unasubiri mshahara mtu anaona bora akomae kibishi tu na voda mambo yaende.Kwa speed voda hana mpinzani.
Airtel inasumbua lakini si kwa kiwango hiki wanachokisema watu hapa.
,na mimi ni multi purpose.

