Mimi TTCL nilikuwaga natumia ya chuo vifurushi vilikuwa bei rahisi halafu speed iko vizuri 4G ni 4G kweli, nilikuwa nawashangaa watu wanaolalamika kuwa TTCL iko slow.
Walichokuwa wananikera TTCL ni upatikanaji wa vocha zao yaani hadi ujiunge kwa M Pesa, na hiyo huduma nayo ikajaga ikatolewa sijui hata waliishia wapi nikaachana nayo.
Haha Airtel si ndiyo huko nasikiaga wanakususia vifurushi ila mtandao utajitafutia, kwamba kama ni vifurushi tu we chukua ila mtandao utajua mwenyewe utakakoenda kuupata.
Sasa Vodacom wanatufanyia kinyume chake wanatususia mtandao 4G ila vifurushi vya bei rahisi utajua utakakovipata, mwee kama sijarudi Tigo sijui mimi japo hawa nao ni bomu.
Yani nimejaribu kujiangalia kwenye kioo zaidi ya mara 2 sijaona kitambi na zaidi namudu kuvaa soksi za miguu nikiwa nimesimama mguu mmojaππ
Nimetoka ofisi ya Waziri Mkuu sijakuta Ujumbe wowote, nimempigia simu Kalani wangu amesema hajapata barua yeyote leo wala Jana, Fanya kuutuma tena π
Wanaotumia Airtel wanasema network ni mwendo wa Kobe. Voda ipo njema Sana kwa speed Ila inatoboa mfuko. Kwa Sasa nipo Voda mdau wa kitambo na halotel inajitahidi Sana kwa gharama na speed normal.
Mimi TTCL nilikuwaga natumia ya chuo vifurushi vilikuwa bei rahisi halafu speed iko vizuri 4G ni 4G kweli, nilikuwa nawashangaa watu wanaolalamika kuwa TTCL iko slow.
Walichokuwa wananikera TTCL ni upatikanaji wa vocha zao yaani hadi ujiunge kwa M Pesa, na hiyo huduma nayo ikajaga ikatolewa sijui hata waliishia wapi nikaachana nayo.
Haha Airtel si ndiyo huko nasikiaga wanakususia vifurushi ila mtandao utajitafutia, kwamba kama ni vifurushi tu we chukua ila mtandao utajua mwenyewe utakakoenda kuupata.
Sasa Vodacom wanatufanyia kinyume chake wanatususia mtandao 4G ila vifurushi vya bei rahisi utajua utakakovipata, mwee kama sijarudi Tigo sijui mimi japo hawa nao ni bomu.
Walichoniboa baadaye wakaleta Sheria zao kupitia Mosses kuwa hutakiwi Kuzini wakati Yeye tayari alishazichakata zaidi 1,000 wakati huo mimi hata watatu sijafika ππ€Έπ€Έ
Baada ya Mosses kusema Tusizini akaja mwingine aliyepigilia msumali kwa kusema Yeyote amtazamiye Mwanamke kwa kumtamani Atakuwa Ameshazini naye ππ. Kwa mstari huo Pekee, hapa JF hakuna atakayepona πππππ
Hii ni online library application unanunua vitabu inaitwa kindle, mie mvivu wa hardcopy huwa nanunua humo vinaishi na kujisomea.. mahala popote pale niwapo