Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora tigo airtel mmewahama nimebaki kupokea simu tu!nimejiunga na msg za mwezi!
 
kilugha chetu hicho, maana yake tumbo kubwa lililopitiliza,
Hapo sasa hebu katazame PM kule, nasubir hivyooh
Yani nimejaribu kujiangalia kwenye kioo zaidi ya mara 2 sijaona kitambi na zaidi namudu kuvaa soksi za miguu nikiwa nimesimama mguu mmoja😜😜

Nimetoka ofisi ya Waziri Mkuu sijakuta Ujumbe wowote, nimempigia simu Kalani wangu amesema hajapata barua yeyote leo wala Jana, Fanya kuutuma tena πŸ˜€
 
Mimi natumia airtel na hakuna shida yoyote ya mtandao.


Airtel baba lao


Voda nimewaachia matajiri.
 
Ila Jamaa amezifaidi kweliπŸ™ˆ

Walichoniboa baadaye wakaleta Sheria zao kupitia Mosses kuwa hutakiwi Kuzini wakati Yeye tayari alishazichakata zaidi 1,000 wakati huo mimi hata watatu sijafika πŸ™†πŸ€ΈπŸ€Έ

Baada ya Mosses kusema Tusizini akaja mwingine aliyepigilia msumali kwa kusema Yeyote amtazamiye Mwanamke kwa kumtamani Atakuwa Ameshazini naye πŸ™†πŸ™†. Kwa mstari huo Pekee, hapa JF hakuna atakayepona πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…