Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mitandao yote nimetumia ila kasoro TTCL, kiukweli airtel iko vizuri upande wa vifurushi internet, tatzo mtandao wao uko slow sana.

Now natumia voda na halotel. japo naumizwq kdg.
Mimi TTCL nilikuwaga natumia ya chuo vifurushi vilikuwa bei rahisi halafu speed iko vizuri 4G ni 4G kweli, nilikuwa nawashangaa watu wanaolalamika kuwa TTCL iko slow.

Walichokuwa wananikera TTCL ni upatikanaji wa vocha zao yaani hadi ujiunge kwa M Pesa, na hiyo huduma nayo ikajaga ikatolewa sijui hata waliishia wapi nikaachana nayo.

Haha Airtel si ndiyo huko nasikiaga wanakususia vifurushi ila mtandao utajitafutia, kwamba kama ni vifurushi tu we chukua ila mtandao utajua mwenyewe utakakoenda kuupata.

Sasa Vodacom wanatufanyia kinyume chake wanatususia mtandao 4G ila vifurushi vya bei rahisi utajua utakakovipata, mwee kama sijarudi Tigo sijui mimi japo hawa nao ni bomu.
 
Mimi nimeamua tu kupambana na furushi langu Voda
Mimi TTCL nilikuwaga natumia ya chuo vifurushi vilikuwa bei rahisi halafu speed iko vizuri 4G ni 4G kweli, nilikuwa nawashangaa watu wanaolalamika kuwa TTCL iko slow.

Walichokuwa wananikera TTCL ni upatikanaji wa vocha zao yaani hadi ujiunge kwa M Pesa, na hiyo huduma nayo ikajaga ikatolewa sijui hata waliishia wapi nikaachana nayo.

Haha Airtel si ndiyo huko nasikiaga wanakususia vifurushi ila mtandao utajitafutia, kwamba kama ni vifurushi tu we chukua ila mtandao utajua mwenyewe utakakoenda kuupata.

Sasa Vodacom wanatufanyia kinyume chake wanatususia mtandao 4G ila vifurushi vya bei rahisi utajua utakakovipata, mwee kama sijarudi Tigo sijui mimi japo hawa nao ni bomu.
 
Mimi TTCL nilikuwaga natumia ya chuo vifurushi vilikuwa bei rahisi halafu speed iko vizuri 4G ni 4G kweli, nilikuwa nawashangaa watu wanaolalamika kuwa TTCL iko slow.

Walichokuwa wananikera TTCL ni upatikanaji wa vocha zao yaani hadi ujiunge kwa M Pesa, na hiyo huduma nayo ikajaga ikatolewa sijui hata waliishia wapi nikaachana nayo.

Haha Airtel si ndiyo huko nasikiaga wanakususia vifurushi ila mtandao utajitafutia, kwamba kama ni vifurushi tu we chukua ila mtandao utajua mwenyewe utakakoenda kuupata.

Sasa Vodacom wanatufanyia kinyume chake wanatususia mtandao 4G ila vifurushi vya bei rahisi utajua utakakovipata, mwee kama sijarudi Tigo sijui mimi japo hawa nao ni bomu.
bora halotel kwa upande wangu,. Airtel unaweza kuta bundle linafikia kikomo na hujatumia,

Niliweka bundle la elfu 3 week nzima GB3, mbna zilipotea buree yaan mtandao unasua sua mda ote uko empty aaaah nkavunja line kwa hasira,
 
View attachment 2045165
IMG_20211215_163602_719.jpg

Leo nimeikumbuka watch yangu!!
 
Back
Top Bottom