Sio wewe tu...huu ni ugonjwa wa wengi, waache wanaodanganywa sijui nyama nyekundu zina nin wapambane na majani yao kama mbuzi








Ila hapo mbona kama umefanana na Pierre eti??Pweza beach View attachment 1224892
@hannah yupo wapi leo??? NmemisiDada ndio nimesogea kwa mama muuza kutibu mning'inio... Hannah atatulia vijana wetuView attachment 1224880
Hahahaha ana wowowo la kufa mtu.hivi nilijua ni mimi peke yangu ndiye ninayekaona kale kawowowo kumbe tuko wengi
Ndiyo.hata wewe
![]()
Hii ni picha ya 4 na tuma sema huwa haikai masaa 24 nafutaNimena ukiwa unapita na like tu, finally umekuja mzima mzima
Unajua hadi naksi? Na vimorali?Wewe ukinywa hvyo vidude tunakubeba
Hahahaha ana wowowo la kufa mtu.
Halafu kuna kale kalikuwa kachezaji ka Liverpool kakahamia Man city simkumbuki jina... Nae si haba.
Mganga kasemaNatambua kuna wadau hapa wana kazi moja tu kuzi download ama kuzi screenshot picha zote zenye sura zinazowekwa hapa....
Nasema hivi... NAOMBA MNISIKILIZE KWA MAKINI SANA..
kama unafanya hivyo kwa nia njema hakuna shida kabisa LAKINI kama unafanya hivyo kwa NIA OVU... nasema OLE WAKO..![]()
Hahah mkuu ishi maisha yako ndio hayo Mungu amepanga. Japo unaweza kuyafanya maisha yakawa kama vile unavyo tamani.Mshana Jr huu uzi wako umeshanifanya nikajiona fala na masikini.
Uweke sheria kabisa, tutume selfie zetu sio za vitu vyetu.
Hauwezi amini mzee baba alikuwa anakaribia kuchana nguo ila sasa hivi kalala zake dadeeeek.
Ndio anawowowo sema kepesi.Raheem sterling
Piem si ulikataza. Au umesahauSiumfuate pm![]()
Nikiwa mdogo nilikua natumwa nikachukue gongo yakuchanganya kwenye chakula cha kuku kwa ajili ya kutibu kideri...nilikua natupiamo pafu mbili tatu.Unajua hadi naksi? Na vimorali?
Haki wewe ni kiongozi wa walevi.