T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,294
- 44,753
Naona watu wanapost magari mimi sina lakini muda mfupi hapa niliitwa nje nikasukume gari betri iliisha charge


UnazururaaaaaPweza beach View attachment 1224892

Kweli huyu kuacha haachi.Hazard akiacha pombe nidai sh. kumi.
PiereeeeKabisa ndugu... Nataka jamaa zangu JF (wema na wabaya) wanifahamu mimi halisi... Wahenga wanasema mchawi mpe mwanao... Kujiweka wazi bila kuficha sura yangu kumenipunguzia sokomoko kubwa View attachment 1224915



Mkwara mbuziNatambua kuna wadau hapa wana kazi moja tu kuzi download ama kuzi screenshot picha zote zenye sura zinazowekwa hapa....
Nasema hivi... NAOMBA MNISIKILIZE KWA MAKINI SANA..
kama unafanya hivyo kwa nia njema hakuna shida kabisa LAKINI kama unafanya hivyo kwa NIA OVU... nasema OLE WAKO..![]()



DadaaaaaaaaPiereeee![]()



. Hahaha
Naona watu wanapost magari mimi sina lakini muda mfupi hapa niliitwa nje nikasukume gari betri iliisha chargeView attachment 1224927




Hili jina la hazard ndio zuri lile lingine bayaa.
Halafu hazard ana kawowowo
Halafu si uliacha pombe wewe? Nakuzoom tuu unavopost pombe.





hivi nilijua ni mimi peke yangu ndiye ninayekaona kale kawowowo kumbe tuko wengiHaukosi utetezi.
Ngoja na mimi nikanywe zangu konyagi na castle light na vimorali na Naksi.
Tukutane bar.
Hazard akiacha pombe nidai sh. kumi.
Huyu Dada kwenye pasenja siti mbona kavaa heleni kama za Manengelo.