T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,778
- 46,577
Naona watu wanapost magari mimi sina lakini muda mfupi hapa niliitwa nje nikasukume gari betri iliisha charge[emoji30][emoji30]
Unazururaaaaa[emoji134]Pweza beach View attachment 1224892
Kweli huyu kuacha haachi.Hazard akiacha pombe nidai sh. kumi.
Piereeee[emoji85][emoji85][emoji85]Kabisa ndugu... Nataka jamaa zangu JF (wema na wabaya) wanifahamu mimi halisi... Wahenga wanasema mchawi mpe mwanao... Kujiweka wazi bila kuficha sura yangu kumenipunguzia sokomoko kubwa View attachment 1224915
Mkwara mbuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natambua kuna wadau hapa wana kazi moja tu kuzi download ama kuzi screenshot picha zote zenye sura zinazowekwa hapa....
Nasema hivi... NAOMBA MNISIKILIZE KWA MAKINI SANA..
kama unafanya hivyo kwa nia njema hakuna shida kabisa LAKINI kama unafanya hivyo kwa NIA OVU... nasema OLE WAKO.. [emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji35][emoji49][emoji83][emoji84][emoji88][emoji88][emoji88]
Dadaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Piereeee[emoji85][emoji85][emoji85]
Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona watu wanapost magari mimi sina lakini muda mfupi hapa niliitwa nje nikasukume gari betri iliisha charge[emoji30][emoji30]View attachment 1224927
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi nilijua ni mimi peke yangu ndiye ninayekaona kale kawowowo kumbe tuko wengiHili jina la hazard ndio zuri lile lingine bayaa.
Halafu hazard ana kawowowo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu si uliacha pombe wewe? Nakuzoom tuu unavopost pombe.
Haukosi utetezi.
Ngoja na mimi nikanywe zangu konyagi na castle light na vimorali na Naksi.
Tukutane bar.
[emoji35][emoji35][emoji30][emoji34][emoji25][emoji30][emoji30][emoji30]hata wewe [emoji25][emoji25][emoji25]Dadaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nilitaka kumwambia kama piere konki ni ndugu yake ila nikaona atanipiga kipapai bure.
Hazard akiacha pombe nidai sh. kumi.
Huyu Dada kwenye pasenja siti mbona kavaa heleni kama za Manengelo.Jumapili Hyooo [emoji115][emoji115][emoji115]View attachment 1224890