Ni bora allergy ibaki palepale ila surgery inipumzishe kidogo na haya mateso.
Hii hali inanitesa mno...nikipumzika miaka kadhaa siyo mbaya.
Nikienda ENT huwa nawavunja mbavu madaktari wangu vile ninavyoishikilia ile surgery.
Kwanza nagombana nao kila siku,naenda pale nanukia kama jini nishajikatia tamaa.