Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Hivi unaishi wapi dear? Dar?Navyopenda sasa hayo mambo, nipe location bas,![]()
I wish nikutane na wewe.
Hivi unaishi wapi dear? Dar?Navyopenda sasa hayo mambo, nipe location bas,![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 Majina sasa!😁😁
Nyete












Ipo!Hivi hakuna App ya kufuta hivyo vidude vilivyoziba![]()
Yah ni kweli kbs.Ukijua jamaa ananigongea mpenzi/mke unajikuta unachukia kila kitu cha huyo mtu😅.Kama anatembelea IST Kwa mfano,unajikuta unachukia IST zote ukikutana nazo barabarani,unaweza kujikuta unachukia Hadi kuku wa huyo jamaa🤣Hahaha....Hakuna kitu kinauma kama kujua unataka kugongewa mke/mpenzi
Ndiyo dea nipo Dar hapa tunapbana na jua kali.Hivi unaishi wapi dear? Dar?
I wish nikutane na wewe.


Pande la mtu kwelikweli.

Kwa kweli wote tumepata hamu ya kumuona
Sawa ila ngoja tuone kama kutakuwa na wadhamini wa shindano.


Amina Amina bosi! Ubarikiwe sana hujawahi niangushaga kabisa!!
Weka hapa tuoneNtakufanyia mpango mdogo wangu chembaaaa
Kumbe upo hapa kabisa. Basi wikiend nakufuata ulipo halafu nakupa ukanyage mafuta huku tunaelekea sehemu ya kula bata. Nitakuja PM.Ndiyo dea nipo Dar hapa tunapbana na jua kali.
Lini hyo dea? Najua ntapata favour ya kukanyaga mafuta kdg![]()
Uwiiii naona umeamua kunimaliza.Pande la mtu kwelikweli.
Mwenye nanii zile wanazopenda warembo![]()
Akiweka picha ndo itakumaliza zaidiUwiiii naona umeamua kunimaliza.

Nilidhani mimi pekee. Aweke tu tusafishe macho.Kwa kweli wote tumepata hamu ya kumuona
Duuuh kashafuta mbna picha enyewe.




Hapo sasa weuweeeeeh,Kumbe upo hapa kabisa. Basi wikiend nakufuata ulipo halafu nakupa ukanyage mafuta huku tunaelekea sehemu ya kula bata. Nitakuja PM.



Mungu akuongezeee maradufu ndugu yangu!!Naanzajee bosslady
Wanawake wa Kisukuma wazubaifu. Ndo maana wanaume wengi wa Kisukuma tumeishia kuoa Wachaga na Wanyaki!Hivi hili jukwaa pendwa hakuna wanawake wa KISUKUMA na wao leo wavae ng'ombe ng'ombe watupie humu ili tuone kama yaliyomo yamo?
Wanyaki yamo kwa kweli![]()


