Selfika na JF: Snap it. Show it

Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali?


Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri
Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi



Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda??
Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
 
Reactions: Pep
Kwa msaada wa filter


Nina tege la haja baba mtumishi
Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi

Kinukiacho manemane na ubani

Manukato yauzwayo na wafanyabiashara?

Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
 
Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi

Kinukiacho manemane na ubani

Manukato yauzwayo na wafanyabiashara?

Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
Baba mtumishi hapa umenipiga kamba

Tuwachane na hizi habari.


Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
 
Reactions: Pep
Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi



Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda??
Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi,

Mwandiko wako ni mtamu ajabu,

Ni mtamu kuliko divai.
 
Baba mtumishi hapa umenipiga kamba

Tuwachane na hizi habari.


Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
Amen amen nakuambia.

Maneno yangu hayana uongo hata chembe 🤣🤣

Mataga watani decode mama mtumishi
 
Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi,

Mwandiko wako ni mtamu ajabu,

Ni mtamu kuliko divai.
Kweli??
Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu.

Unaniruhusu baba??
 
Reactions: Pep
Amen amen nakuambia.

Maneno yangu hayana uongo hata chembe


Mataga watani decode mama mtumishi
Hebu nionee huruma japo kidogo baba mtumishi.

Tangu asubuhi nipo hapa nakuomba picha
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…