Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,041 Jack Palladino said: Kitu ukikimiss maana yake uwa unakitumia Click to expand... Unakitumia ila mara moja moja.
Jack Palladino said: Kitu ukikimiss maana yake uwa unakitumia Click to expand... Unakitumia ila mara moja moja.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Dec 13, 2021 #124,042 I miss u my babe valee Valentina
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,043 Saint Anne said: Victory belongs to Jesus Oooh ooooooh Victory belongs to Him. View attachment 2042814 Click to expand... Mama mtumishi ana miguu mizuri kama watu wa mbele 🤓
Saint Anne said: Victory belongs to Jesus Oooh ooooooh Victory belongs to Him. View attachment 2042814 Click to expand... Mama mtumishi ana miguu mizuri kama watu wa mbele 🤓
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,044 Jack Palladino said: Siwezi kurudi babe Click to expand... Safi sana
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,045 Saint Anne said: Baba mtumishi una mwandiko mzuri Nimeupenda..umekaa kiume. Unavutia kama jinsi wewe unavyonivutia Hivi na mimi najua kuandika kweli?View attachment 2043086 Click to expand... Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali? 🤣🤣 Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri
Saint Anne said: Baba mtumishi una mwandiko mzuri Nimeupenda..umekaa kiume. Unavutia kama jinsi wewe unavyonivutia Hivi na mimi najua kuandika kweli?View attachment 2043086 Click to expand... Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali? 🤣🤣 Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,046 Pep said: Mama mtumishi ana miguu mizuri kama watu wa mbele Click to expand... Kwa msaada wa filter Nina tege la haja baba mtumishi
Pep said: Mama mtumishi ana miguu mizuri kama watu wa mbele Click to expand... Kwa msaada wa filter Nina tege la haja baba mtumishi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,047 Pep said: Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali? Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri Click to expand... Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda?? Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
Pep said: Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali? Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri Click to expand... Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda?? Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,048 Saint Anne said: Kwa msaada wa filter Nina tege la haja baba mtumishi Click to expand... Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi Kinukiacho manemane na ubani Manukato yauzwayo na wafanyabiashara? Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
Saint Anne said: Kwa msaada wa filter Nina tege la haja baba mtumishi Click to expand... Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi Kinukiacho manemane na ubani Manukato yauzwayo na wafanyabiashara? Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,049 Pep said: Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi Kinukiacho manemane na ubani Manukato yauzwayo na wafanyabiashara? Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi Click to expand... Baba mtumishi hapa umenipiga kamba Tuwachane na hizi habari. Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
Pep said: Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi Kinukiacho manemane na ubani Manukato yauzwayo na wafanyabiashara? Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi Click to expand... Baba mtumishi hapa umenipiga kamba Tuwachane na hizi habari. Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,050 Saint Anne said: Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda?? Nitakuandikia ujumbe kila siku baba Click to expand... Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi, Mwandiko wako ni mtamu ajabu, Ni mtamu kuliko divai.
Saint Anne said: Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda?? Nitakuandikia ujumbe kila siku baba Click to expand... Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi, Mwandiko wako ni mtamu ajabu, Ni mtamu kuliko divai.
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,051 Saint Anne said: Baba mtumishi hapa umenipiga kamba Tuwachane na hizi habari. Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba. Click to expand... Amen amen nakuambia. Maneno yangu hayana uongo hata chembe 🤣🤣 Mataga watani decode mama mtumishi
Saint Anne said: Baba mtumishi hapa umenipiga kamba Tuwachane na hizi habari. Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba. Click to expand... Amen amen nakuambia. Maneno yangu hayana uongo hata chembe 🤣🤣 Mataga watani decode mama mtumishi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,052 Pep said: Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi, Mwandiko wako ni mtamu ajabu, Ni mtamu kuliko divai. Click to expand... Kweli?? Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu. Unaniruhusu baba??
Pep said: Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi, Mwandiko wako ni mtamu ajabu, Ni mtamu kuliko divai. Click to expand... Kweli?? Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu. Unaniruhusu baba??
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,053 Pep said: Amen amen nakuambia. Maneno yangu hayana uongo hata chembe Mataga watani decode mama mtumishi Click to expand... Hebu nionee huruma japo kidogo baba mtumishi. Tangu asubuhi nipo hapa nakuomba picha
Pep said: Amen amen nakuambia. Maneno yangu hayana uongo hata chembe Mataga watani decode mama mtumishi Click to expand... Hebu nionee huruma japo kidogo baba mtumishi. Tangu asubuhi nipo hapa nakuomba picha
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,054 Saint Anne said: Kweli?? Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu. Unaniruhusu baba?? Click to expand... Hili hatukukubaliana mama mtumishi.
Saint Anne said: Kweli?? Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu. Unaniruhusu baba?? Click to expand... Hili hatukukubaliana mama mtumishi.
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Dec 13, 2021 #124,055 Saint Anne said: Hebu nionee huruma japo kidogo baba mtumishi. Tangu asubuhi nipo hapa nakuomba picha Click to expand... Pole mtumishi mwenzangu 😍
Saint Anne said: Hebu nionee huruma japo kidogo baba mtumishi. Tangu asubuhi nipo hapa nakuomba picha Click to expand... Pole mtumishi mwenzangu 😍
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,056 Pep said: Hili hatukukubaliana mama mtumishi. Click to expand... Una habari nimeandaliwa bia mpya?? Baada ya juhudi za mwanzo kugonga mwamba sasa wamekuja na kitu kipya Niruhusu baba siku moja tu!
Pep said: Hili hatukukubaliana mama mtumishi. Click to expand... Una habari nimeandaliwa bia mpya?? Baada ya juhudi za mwanzo kugonga mwamba sasa wamekuja na kitu kipya Niruhusu baba siku moja tu!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 13, 2021 #124,057 Pep said: Pole mtumishi mwenzangu Click to expand... Pole tupu bila picha🥲
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Dec 13, 2021 #124,058 Saint Anne said: Huyo ni chaguo lako Chaguo lako. Click to expand... Basi mwambie asigeuke geuke nyuma mwisho akawa jiwe la chumvi
Saint Anne said: Huyo ni chaguo lako Chaguo lako. Click to expand... Basi mwambie asigeuke geuke nyuma mwisho akawa jiwe la chumvi
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Dec 13, 2021 #124,059 Saint Anne said: Mimi na baba mtumishi Pep tunajadili mambo ya utumishi na huduma za Kristo Click to expand... hata mie naona
Saint Anne said: Mimi na baba mtumishi Pep tunajadili mambo ya utumishi na huduma za Kristo Click to expand... hata mie naona
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Dec 13, 2021 #124,060 Jack Palladino said: I miss u my babe valee Valentina View attachment 2043090 Click to expand... Niko hapa kipenzi changu
Jack Palladino said: I miss u my babe valee Valentina View attachment 2043090 Click to expand... Niko hapa kipenzi changu