Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Jaman kwa hiyo mm nishakuwa mkate wa mtakatifu😅😅😅, umeuomba weww yeye list yake ngumLol... Ngoja niusikilize au wa mtakatifu??![]()
Jaman kwa hiyo mm nishakuwa mkate wa mtakatifu😅😅😅, umeuomba weww yeye list yake ngumLol... Ngoja niusikilize au wa mtakatifu??![]()
Na kama matamu hivi nikiwa mgonjwa nikipona itakuwaje...








! Ukipona no mideko anymore!Wee hata saiv? Hapana next Sunday ccDah
Tutaenda tu hata sasahivi,
Kuna maombi ya kufunga,utaomba hafi asbh.
Haponi mtu sasa! Ukipona no mideko anymore!
Na wewe niwekee wako hapa
Kimasihara kuna nini shoo tuambiane naona tangu jana mwaitana kwenda huko!




$hos kimasikhara kuna ubuyu pambee huko, full kucheka. LolHajawahi kufail yaan.Jamaa namkubali Genius sana.
Kalienda kudai talaka.
Jamaa hovyo sana huyu.
Alitudharirisha tu watanzania.





ndo tatzo la MarioosAmeshakuachiaHuyu anapenda vigumu mm nataka mac Antony




Ah hii ngoma gari hata ikipita nje na church unaweza jikuta unatikisa kichwa.


afu haichuji hii ngoma, na inapendwa sana ktk dance hasa mashulen, wimbo huu ni viuno kwa kwenda mbele, 



Usiku sasa ndio mzuriWee hata saiv? Hapana next Sunday cc
KagomaAmeshakuachia
Naomba picha
Wimbo weka za Celine au Alicia keys
Naomba kukaribishwa hiyo sayari pia mkuu😜Ambayo haina stress
Siku nilivyosikia kalislim kakaenda kuolewa kenya,mara kakadai talaka nilikashusha vyeo vyote.ndo tatzo la Marioos
Ashakubali.Kagoma
kuna wali kuku sasa hii ni kuku wali😉Misuse of mboga wee nyama zote hizo wali huo tu???![]()
Tuko wawili tuNaomba kukaribishwa hiyo sayari pia mkuu😜