😂😂😂keki unaweza ichukulia poa ila ina umbua mbaya siku ile niliaibika sana vitoto vya dada zangu vinakuja jikoni vinachungulia Odo keki bado kumbe kitu ugaliii😂😂😂😂Mimi hivyohivyo.
Watu walikuwa waisubiri wale,nikajitoa kimasomaso kupika.
Bora hata ingekuwa ugali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haikuiva kabisa,ilikuwa inafurumia tu hapo jukoni..blue band inateketa tu pale juu inatoa povu.
Nilichochea usiku kucha,nateketeza tu mkaa lakini wapi.
Ni miaka 6 sasa imepita,ndio nimejaribu tena leo.
Tena ilikuwa ya graduatuon ya watu.[emoji23][emoji23][emoji23]keki unaweza ichukulia poa ila ina umbua mbaya siku ile niliaibika sana vitoto vya dada zangu vinakuja jikoni vinachungulia Odo keki bado kumbe kitu ugaliii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie mkaa unanichosha inachelewesha hivi then hapo upo excited unaisubiri ule kwa hamu .
siku moja nikaona YouTube keki inaiva kwa rice cooker nikajaribu aisee kumbe sio rice cooker zote zinaweza kupika cake , nikashangaa pap imezima chini ndo imeiva ,[emoji17]
Hivyohivyo umenenepa aiseeWapi maisha magumu tu haya[emoji12]
Jitahidi mpendwa Sambusa kidogo rahisi kujuaNajua ninatoa kituko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila nitapiga moyo konde na kujaribu tena.
Mimi najisikia aibu sana aisee
Sambusa zilivyo tamu vile na sijui kupika,yaani watu wakitaka wale inabidi wanunue...huu ni uzembe.
Yaani huwa inaniogopesha ,inavyokunjwa vile.Jitahidi mpendwa Sambusa kidogo rahisi kujua
[emoji23][emoji23][emoji23] waachie nitapitia tuHalafu kuna kitu niliagizwa huko ila najisikia uvivu sana
Ukipata muda njoo uchukue hapa kimara ,
Nitawaachia hapo mwendokasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni Chef's pride ?
Uwe unatumia chandaruaBeach hiyo, achana na hao mbu walioning'ata mkononi[emoji12] happy weekinding day [emoji8]
View attachment 2040381
bora ningekua umbu tuuBeach hiyo, achana na hao mbu walioning'ata mkononi[emoji12] happy weekinding day [emoji8]
View attachment 2040381
Niko njiani naenda sehemu hio njaa sasa [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]!!
Luķmaan 🙂Hapo ni Chef's pride ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakudai bhana, hebu selfika nkuone naweeAisee we ni mchoyo,hata sitaki unidai picha(natania)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee khaaahHeee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huku mwenzio nimenyuka pamba hapo[emoji1787]
Dumla elf 11Sijui bei yake[emoji41]