Mimi hivyohivyo.
Watu walikuwa waisubiri wale,nikajitoa kimasomaso kupika.
Bora hata ingekuwa ugali
Haikuiva kabisa,ilikuwa inafurumia tu hapo jukoni..blue band inateketa tu pale juu inatoa povu.
Nilichochea usiku kucha,nateketeza tu mkaa lakini wapi.
Ni miaka 6 sasa imepita,ndio nimejaribu tena leo.