Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂keki unaweza ichukulia poa ila ina umbua mbaya siku ile niliaibika sana vitoto vya dada zangu vinakuja jikoni vinachungulia Odo keki bado kumbe kitu ugaliii😂😂😂😂
 
keki unaweza ichukulia poa ila ina umbua mbaya siku ile niliaibika sana vitoto vya dada zangu vinakuja jikoni vinachungulia Odo keki bado kumbe kitu ugaliii
Tena ilikuwa ya graduatuon ya watu.
Vile vipande vya kula tu na chakula.
Imefika asbh hakuna kinachoeleweka,,hapo nilichochea weee,ndio kwanza inafurumia
nyeupe vilevile.
Mama akawa ananisaidia kuongeza moto akijua itaiva,,
Dada ndio anacheeeka mjinga yule
hadi nililia.

Kiherehere changu,hata kupika sijui nikajichanganyia tu,jaza blue band.
 
 
Jitahidi mpendwa Sambusa kidogo rahisi kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…