Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wamwung"ang"ania hadi imekuwa kero.

Na kwenda kuanzia mada zao za ushoga nje na uzi huu hawataki.


Tunaomba uselfike
๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ
 
Mkuu dimpozi ni ulemavu,alafu huyo jamaa hayuko Sawa,na kumpost hapa utaamsha Ile mada yetu pendwa๐Ÿ˜‚

Mr blue anazo,quick rocka anazo lkn ushasikia wanajisifia dimpozi na uhandsome km huyu jamaa?..yes wagonjwa wananipenda wanasema doctor handsome๐Ÿ˜…
 
Duhh! Kumbe we gay?

Alikutongoza?
 
Na wewe unataka uende kulia?

Kuna mwamba wetu huko cariha anapangua hoja za wanaume wanaolialia
kila angle kuna mwamba, just imagine naaambiwa mie mwamba wa ktk kupiga spana na kupangua hoja kwenye mada flani iv, afu naaambiwa nafanya hivyo huku natabasamu

cariha ni kiboko yule,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ