Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Mazonge babeKuna nini babe?
Mazonge babeKuna nini babe?
Kule utacheka hadi basiNgoja nikabip kidogo
Zangu za nitosha mwayaNikupe nikuongezee kwenye zako



Tuendelee kuziba maskio naona wengi wanataka watugombanishe😁Mi sidaiwi na mtu babe
Washindwe kwa jina lako babe wanguTuendelee kuziba maskio naona wengi wanataka watugombanishe![]()
Hata mimi nimeshaiginoa watatu mpaka sasa ila wakikwotiwa si bado unaona tu kinachoendelea?Ata mimi nililiona humu ila naona wengine wanaona poa ,nilichofanya nikawaignore post zao sioni ila hiz siku imekuwa too much walishawah kunikimbiza kwenye hili jukwaa
Huku nako unadhani kunaeleweka?Aisee wamecharuka hao.
Bora tupumzike huku.





Mimi nimependa hivyo hivyo babeSasa babe wataka kuniaibisha na umbo langu kabati jamani![]()
Heeeeee.Huku nako unadhani kunaeleweka?
Huku watu wameng"ang"ana kuanzia mambl ya ushoga.
Utatamani urudi kule
Tunaba uselfike Dada yetu![]()
Ukiselfika lile limguu nitakwambia shida ilikuwa ni ganiKwenye likes nako shida ni gani?
Nahisi nina mwaka sijaingia



Kabisa kabisaWashindwe kwa jina lako babe wangu
Ata mimi anayeqoute naignore ...Hata mimi nimeshaiginoa watatu mpaka sasa ila wakikwotiwa si bado unaona tu kinachoendelea?
Hivi leo umeselfika besti?Ukipata chimbo nitag nami nikuje Hapa chefuuuukabisa!

Watu wamwung"ang"ania hadi imekuwa kero.Heeeeee.
Ushoga tena?
Halafu sijaingiaga humu napitaga tu.
Rudia kusoma huu mstari kwa utulivu ..Babuuu unanionea sasa wallah iv, mbna mie nshakua cool na mambo yangu tangu mda, c we apo na huyo mwenzio ndo mmeleta hizo mada hapa tena, sijui chimao na huyo Congolese sijui
Sasa mie nimefanyaje tena?![]()
Au tukafufuee makapuku😃😃😃Hivi leo umeselfika besti?
Leo joto vipi lakini?
Nikipata nitakushtua tu. Na wewe ukipata fanya vivyo hivyo![]()
Hapa sikuhizi pananuka na nina kinyaa hatariiiiii!! Hujanitag huko MMU jamani nimepitwa naona pages nyingiii sijui hata pa kuanzia!!!!Hivi leo umeselfika besti?
Leo joto vipi lakini?
Nikipata nitakushtua tu. Na wewe ukipata fanya vivyo hivyo![]()