Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nishawai safari na X5 masaa 15 nilinyoosha mikono na ndo nikaamini kuwa toyota zetu ni vyombo vya usafiri. mjerumani ametuliza akili sana kwenye gari zake
Ni kweli mkuu mjerumani sio kanjanja kwenye hii tasnia jiko linakubali ( injini ) mpaka unasema Hawa Babu zetu enzi hizo walikuaga wanafanya nini duniani zaidi ya kuwinda huku wenzao wakifanya innovation s mbali mbali
 
Ni kweli mkuu mjerumani sio kanjanja kwenye hii tasnia jiko linakubali ( injini ) mpaka unasema Hawa Babu zetu enzi hizo walikuaga wanafanya nini duniani zaidi ya kuwinda huku wenzao wakifanya innovation s mbali mbali
babu zetu sio makosa yao na wao.. Germany car ni the best.
 
Nashaurika kirahisi sana. Tena kwenye reasons for change niliandika "Karma wants me to do so". Mchezo kwisha
Khaa hivi kumbe ulibadili kwa sababu ya ushauri wangu mie nilijua hilo wazo ulikuwa nalo tangu mwanzo? Jamani jamani kwahiyo ukaona usizunguke sana ueleze kabisa hali halisi kwamba kuna mtu ndiyo kataka nibadili!

Ila kweli mwenyewe pale kwenye kuweka sababu za kubadili id mwanzo nilikuwa nakuna kichwa nikidhani kwamba wanataka sababu konki! Ila nilivyojua hata ukiandika yoyote wanabadilisha aahh nikawa najipachikia tu uongo!
 
Khaa hivi kumbe ulibadili kwa sababu ya ushauri wangu mie nilijua hilo wazo ulikuwa nalo tangu mwanzo? Jamani jamani kwahiyo ukaona usizunguke sana ueleze kabisa hali halisi kwamba kuna mtu ndiyo kataka nibadili!

Ila kweli mwenyewe pale kwenye kuweka sababu za kubadili id mwanzo nilikuwa nakuna kichwa nikidhani kwamba wanataka sababu konki! Ila nilivyojua hata ukiandika yoyote wanabadilisha aahh nikawa najipachikia tu uongo!
Kweli niliandika hivyo. Nilifikiri wataishia kunitandika ban lakini hata saa haikupita nikakuta wameshabadilisha
 
Back
Top Bottom