Kapime afya ya viungo hivyo, ujue hali yako, mara moja kwa mwaka siyo mbaya ujue hali yako na mustakabali...jamaa yangu mmoja huwa anasema hawezi kuja kufa ini, figo, moyo, mapafu vyote vizima acha ale gambe na fegi ikifika imefika
Nafunga ukurasa wa mambo yasiyotakiwa humu, kuanzia muda huu hadi siku ya mwisho ya uhai wangu, nitakuwa mkimya ndani ya huu uzi hata nichokozwe vipi,
Samahan kwa waliokwazika sisi ni binadamu sote tuna mapungufu, kwahiyo tuvumiliane.