Yeah walevi wengi huwa tunajifariji hivyo daah [emoji3][emoji3]Kapime afya ya viungo hivyo, ujue hali yako, mara moja kwa mwaka siyo mbaya ujue hali yako na mustakabali...jamaa yangu mmoja huwa anasema hawezi kuja kufa ini, figo, moyo, mapafu vyote vizima acha ale gambe na fegi ikifika imefika
Unanitafutia ugomvi na babu yako! Mi sitaki [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2365][emoji2365][emoji2365][emoji125][emoji125][emoji125]
Ofcourse man 😊.....ila usiniletee nyingi nisije kunona mpaka nikashindwa kugombea daladala maana ......🥴 😁Kumbe unapenda vitu vitamu laini! Nikija Mbagala nitakununulia utakula hadi meno yafanye uyeye!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Nawe wacha uwoga,unamuogopaje yule mzee?Unanitafutia ugomvi na babu yako! Mi sitaki [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2365][emoji2365][emoji2365][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaa kweli hujapona vizuri mkuu [emoji23][emoji23]Nilikuwa nimetingwa kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo, walau sahivi ndio napumua! Si unajua maisha yakibana [emoji38][emoji38][emoji38]
Waulize machizi hata vile vyakula majalalani sahv hawavipati bure!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wapi wee, maneno tyuuh haya hata kwenye khanga yapo.Pumbavu Sana wew ungekua karibu ningekunasa vibao vikali akili izibuke hio
Naunga mkono hoja, waje tupigane tena nje ya hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nendeni basi mkagombane[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo ubavu unao bas? Ntakufurusha wee hadi ushangae, utaleta mrejesho humu.Ataje location nikamnasie vibao hapo hapo alipo kwa gharama zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo ubavu unao bas? Ntakufurusha wee hadi ushangae, utaleta mrejesho humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nifikie 76 ili nigundue nn? Au kwa bahati gani? Hapa tu naponea chupu chupu kupigwa mawe na kutupwa mtoni, [emoji23][emoji23][emoji23]We kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!
Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule [emoji16]
Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!
Enjoy your life mkuu!
Sitajibishana nawe tena
[emoji7][emoji7]
E bwana inabidi juhudi za upambanaji zifanyike huko.Naunga mkono hoja, waje tupigane tena nje ya hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zamani alikuwa anaitwaje?Sema na we mwanangu tangu umebadili id ule uchizi wako umeupunguza sana asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niko makini. Camera zote ziko on. Ila huyu mjukuu naye duh! Itabidi ninunue bunduki!Unanitafutia ugomvi na babu yako! Mi sitaki [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2365][emoji2365][emoji2365][emoji125][emoji125][emoji125]