ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,365
- 118,746
Jamani jamani...aaah!
-shkamo!Jamani jamani...aaah!
-shkamo!Ingekuja ilivo ingependeza zaidi Hahaa😂😂 mdada mwenye hipusi na guu lake doh!! You look so muuuuaaahhhhhh!😘😘😘😘
Huyu mtoto ni nuksi sana


Tangu November.. Mwaka unaelekea kuisha mdogo wangu..Mwaka huu umejitahidi kuweka weka![]()
Sasa wazee wa kuzoom sehemu muhimu watakuja, subiri tu..
Mwaka huu ndio utakuwa umeweka picha nyjngi zaidi kuliko mwaka jana na mwaka juzi ambapo uliweka picha moja tu.
Ingekuja ilivo ingependeza zaidi Hahaamdada mwenye hipusi na guu lake doh!! You look so muuuuaaahhhhhh!
![]()




Sasa wazee wa kuzoom sehemu muhimu watakuja, subiri tu..







Mwaka huu ndio utakuwa umeweka picha nyjngi zaidi kuliko mwaka jana na mwaka juzi ambapo uliweka picha moja tu.





Dah!!!


Acha kucheza na macho ya wanaume wewe...
Pacha yupi tena, sitaki mwingine aone..haha!
Hakyanani nimemsahau, mdogo wako au? Huu uzee bwana!
Dah!!! Haya Bhana.. tuendelee na kuselfika.Hakyanani nimemsahau, mdogo wako au? Huu uzee bwana!
Mazoezi unakuwa both physically and mentally fit
Hata kwenye mgegedo auhitaji vumbi la Congo,uume inasimama sawasawa,damu inaflow vizuri,mapigo yanaenda vema
Pia ikiwa na mwonekano wa kimazoezi inakuongezea mvuto,skin tone inakuwa unavutia maana vinyweleo vinakuwa vimefunguka muda wote..huna haja na masaji ili kurekebisha ngozi.
Kikubwa kuliko vyote,mazoezi yanakufanya
Kuwa na mwonekano wa kijana muda wote(forever young km Jz),wengi nikiwaambia nakaribia 30 hawaamini,ndy maana financial services na Depal kila siku huniita mtoto
unaona hii form six ilivyonikaa? Fanya mazoezi Baba utakuja kunishukuru
View attachment 2032422