Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,857
Ulimpenda? 😅Umefanana na mkaka mmoja jumatatu alikuja ofisin na quotation yake nikajikuta nimetoa discount mpaka sasa hivi sielewi what happened
Ulimpenda? 😅Umefanana na mkaka mmoja jumatatu alikuja ofisin na quotation yake nikajikuta nimetoa discount mpaka sasa hivi sielewi what happened
Cha Jack DanielsKidogo cha kufutia simu![]()




Yes
Humo kwenye glass kuna limao tu na maji??
Safi kabisa..Ila hapo kwenye kuvutia mtu,Mimi nimesema ukifanya mazoezi unavutia,sijasema unavutia mtu😅Kweli eeh😊😊.. Upo vizuri mkuu, mie sina shida ya kuvutia mtu mkuu labda hilo la physical maana mental kuna vyakula ukiwa unakula unakuwa powa sanaa
Ndani ya dera
Naomba
Unavutia nini sasa 😂😂😂Safi kabisa..Ila hapo kwenye kuvutia mtu,Mimi nimesema ukifanya mazoezi unavutia,sijasema unavutia mtu😅
Sawa my xNaomba
Upake na chumvi

Mambo yangu haya, ni mwendo wa vitu vitamu vitamu
Kama kuna pombe jeSawa my x![]()
Hivi si ulinunua keki nyingine eeh![]()


nilisafiri ndugu yangu nimerudi leo njoo tukanunue sasaItakuchangamsha kidogoKama kuna pombe je
Eti eeh??Itakuchangamsha kidogo
Kumbe!nilisafiri ndugu yangu nimerudi leo njoo tukanunue sasa
Mimi sinunui adi nikuone usije nisusia kama juziKumbe!
Nunua basi kesho tule
Unashabikia team gani ?