Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Khoooo!!!!!Ndio timberlake si ndio, ngoja tujaribu kila kitu!View attachment 2032526
Sent using Jamii Forums mobile app
Khoooo!!!!!Ndio timberlake si ndio, ngoja tujaribu kila kitu!View attachment 2032526
Mkuu fanya urudi ibadani, tuache sisi na mapicha yetu hapa

Umewaza nini mahondaw! HahaZinachoma choma kihisia fulani hivi!!!
So ameizingggggg!!!
Nawe pia Mahondaw.. ShukraniHapa Palichafukwa balaa Ila unashukuru mungu pametulia! Uwe na jumamosi tulivu!

Hem do ze needful basi shem lake!
💃🙃🙃🙃 Hahaa!Umewaza nini mahondaw! Haha
I know you love food.I dint snap it,next time i will defo mate.I wanna see the food 🤓
Yani najitahidi kufuta "regacy" wewe upo tu! Ngoja nikachume fimbo...achana na losaful bwana!
Eli79 livapuli tuna mechi leo jioni,njoo utushuhudie tunavyowachapa watu.
Nilitaka kuandika kitu.. ila Roho Mtakatifu ameingilia kati.. Ha ha haMkuu fanya urudi ibadani, tuache sisi na mapicha yetu hapa![]()
In a Sec. Shem.. Habari ya Weekend..Hem do ze needful basi shem lake!
Ewaaaa....ndio maana "nakuhusudu", kuhusudu ni neno zuri shem



, uliniona nakenua hivi jua tu kuwa J1 imekaa poa. Vipi nyie huko!Andika tuone basi, huwezi jua roho wa bwana akakutumia leoNilitaka kuandika kitu.. ila Roho Mtakatifu ameingilia kati.. Ha ha ha
Sent using Jamii Forums mobile app

Huku Mungu anazidi kutupigania...Ewaaaa....ndio maana "nakuhusudu", kuhusudu ni neno zuri shem, uliniona nakenua hivi jua tu kuwa J1 imekaa poa. Vipi nyie huko!
Mutu yenye busara na hekima zake!!! Asie na mambo mengi!!!Wee thubutu, handsome wapi? Kamera tu hizi, tukikutana ndio mnakuja kutufungulia thread hapa...
View attachment 2032515
Eli79 hili jina sifutiYani najitahidi kufuta "regacy" wewe upo tu! Ngoja nikachume fimbo...achana na losaful bwana!



Ya 7 hii.
Mwaka huu umejitahidi kuweka weka
