Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa hiyo tukubaliane kwamba dota ni ana muonekano wa kiume(tomboy) lakini mgegedo ni kama kawaida.
, afadhali


Baada ya kusema hayo sasa huyo dogo sipendi kusoma comments zake. Kila nikimsoma then nikimcheki dogo wangu najisikia vibaya sana. The best thing ni kubofya ignore ili nisiendelee kuikwaza nafsi yangu, first time na-ignore mtu.
 
Yeah haya mambo yameshatolewa elimu sana lakini kwa jamii yetu hii itakuwa ngumu kueleweka. Kuna muda ukitafakari kwa kina inabidi mtu ukubali tu maana hatuwezi lazimisha kwamba fulani ni mwanaume rijali halafu akaingia kwenye ndoa akashindwa kufanya yale yanayotakikana ikawa taabu.
 
Aah mnasemaga hivyo hivyo. Sisi kwenye masuala ya mgegedo hatuwakatalii ninyi danganyaneni muwezavyo ila kwenye masuala ya uzazi please give us a break.
 
Hahaa yeah mimi ni kinda tom boy pops. Ila kwenye mapenzi nishafeli ndiyo tatizo.

Una mdogo wako tom boy ama gay
 
Tuvumiliane.

Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.

Ni kama wengine tunavyopost mapicha picha humu,mengine ya hovyo,,ila tunavumiliwa tu hivyohivyo na wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…