Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Nami naiomba mkuu...Hii picha nimeidanlodi Kwa matumiza ya baadae
Nami naiomba mkuu...Hii picha nimeidanlodi Kwa matumiza ya baadae
Mshana Jr huyu kuku alikuwa wa kike maana ana shepu km mahondaw
Ina maajabu gani?Hii picha nimeidanlodi Kwa matumiza ya baadae
Dah msinikuzie mambo tafadhaliniHuyo T 1990 ELY usimtaje bn mbele yangu roho inaniuma sn jinsi anavyoenjoy penzi la mtoto Depal ..sichelewi kujinyonga Mimi
Kale kafeeling kanakuwepo pale paper yako inapobaki ya mwishoI love that tension mkuu. Ila sitosahau siku Moja.......

😀😀😀Ushaifuta dah!
Hakuna kitu kinauma kama kukuta picha inasifiwa halafu imeshafutwa!
😀😀😀😀 Ndio tukubaline na hali mkuu, ila ipo siku yetu tuHuyo T 1990 ELY usimtaje bn mbele yangu roho inaniuma sn jinsi anavyoenjoy penzi la mtoto Depal ..sichelewi kujinyonga Mimi
Nimuambie mie tena 😳😳😳😳😳 Ukishindwa mie ntawezea wapi mkuu 😄😄😄Huyu D ana makusudi sn asee
Kwanza mwambie atoe hayo makorokoro aliyoziba usoni kisha aposti picha yenye dimples
Fanya hivyo Depal ili nilale usingizi Kwa amani
MmmmmmmmmmhDah msinikuzie mambo tafadhalini
Habari za asubuhi Kijana wa hovyo hovyoNdio tukubaline na hali mkuu, ila ipo siku yetu tu
Umejuaje...kwa kweli nakojoa pazuri sana mkuuHuyo T 1990 ELY usimtaje bn mbele yangu roho inaniuma sn jinsi anavyoenjoy penzi la mtoto Depal ..sichelewi kujinyonga Mimi
Kwema kabisa mkuu T 1990 ELY kumekucha kaka, tupo tunakumbizana na askari machinga mtuombee kwa mama hangaya tupumueHabari za asubuhi Kijana wa hovyo hovyo
Speed test std 7. Hisabati maswali 50, nikajibu maswali 49 swali la mwisho nikaweka signature kwenye jibu. Nikascore 49/50, aisee mwalimu alinitia stiki nyingi akaona ni dharau. Nilipelekwa ofisi ya walimu aisee usiombe ukapelekwa ofisini halafu walimu wakaalikanaKale kafeeling kanakuwepo pale paper yako inapobaki ya mwisho
Unajisikia nani sijui.
Habari za asubuhi kwangu ni kwema kbs mkuu
😀😀😀😀 Ndio tukubaline na hali mkuu, ila ipo siku yetu tu
Yah,tusubiri wakati wa MUNGU kila kitu kutakuwa Sawa mkuu😀😀😀😀 Ndio tukubaline na hali mkuu, ila ipo siku yetu tu
Speed test std 7. Hisabati maswali 50, nikajibu maswali 49 swali la mwisho nikaweka signature kwenye jibu. Nikascore 49/50, aisee mwalimu alinitia stiki nyingi akaona ni dharau. Nilipelekwa ofisi ya walimu aisee usiombe ukapelekwa ofisini halafu walimu wakaalikana
