Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 6,868
- 21,572
Mhuuuuu! πMida ya wanga
Leo unakeshaMhuuuuu!
Mbn Una Sura nzuri Tu mtakatifu!!Unataka ushtuke??
Sura yangu huwa naitumia kutishia watoto wasumbufu.
Beautiful with brain
Mkuu wengine hatuna shida za mahusiano,Ila tuko night shift tunatekeleza Sera ya hapa kazi Tuwalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku
Mtoto Depal sasa hivi yupo fofofo,midenda inamtoka shavuni inachafua shuka...Kwa kuawahi kuamka sasa,Kama jogoowalio single, walio nuniana, wenye mahusiano yanayo pumulia oxygen... hawaishi kuchart hapa hata saa tisa za usiku
Naah. Nshafika home muda si mrefu.πLeo unakesha
βΊβΊβΊBeautiful with brain
Aahh wewe tenaKuna mtu jana ananimbia kama mchawi, mda huu unaweza sikia nipo dar kesho ukasikia nipo mwanza
I was about to..kukujia na hii nyingine..
It's normal thing humu Jf..Ooh sawa
Kumbe!
Na mimi nikibadili I'd kumbe unaweza kuja tena, na usijue kama ni mtu mmoja.
Mimi niliona kule kwenye uzi fulani hivi.
Ila mtu kubadilika ni ngumu aisee,,
Tone ya uandishi huwa inakuwa ileile.
Halafu hadi leo nasubiri ile picha nzuri ya sketi ya marinda
Mkuu ungekuwa home hizo crumbs zisingesamehewa hivyo ππUbao kama Ubao πππ
View attachment 2024933