Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,511
- 235,218
Wakati huo viunga vya galilaya nipo mimi na mhe spika[emoji1787][emoji1787][emoji1787] biblia ya mh. sUpika iliandikwa na wagerasi[emoji1787][emoji1787]
Wakati huo viunga vya galilaya nipo mimi na mhe spika[emoji1787][emoji1787][emoji1787] biblia ya mh. sUpika iliandikwa na wagerasi[emoji1787][emoji1787]
Utopolo walioga mvuaMnakumbuka hiiiiii[emoji23]View attachment 2013347
Kwa hiyo tulifichwa kwa maslahi mapana, ila mh. Supika anajua pekeakeYesu alioa binti anaitwa Sant.anna,huku viunga vya galilaya.
Unamwita Rais wako useless kweli?[emoji16]Ebanae hujui kuna jotooo!!?? [emoji1787]
Hata mimi ndiyo namsikia ni nani huyu Hangaya?Unaishi Tz na humjui chief Hangaya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mafisango[emoji22][emoji22], OkwiYa mauweeeee[emoji16]
Rais yupi tena wa chuo au? Mi chuo nilishatoka muda sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamwita Rais wako useless kweli?[emoji16]
Nimecheka sana mkuuuuuu.Au ndio wew mke wa yesu..Ila ndugai bna
Sawa afande Mahita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mimi ndiyo namsikia ni nani huyu Hangaya?
Niwie radhi mkuu kunifananishana na huyo jambazi.Sawa afande Mahita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23] Tanzania Kuna mambo yanachekesha sanaNimecheka sana mkuuuuuu.
Hahah! Naomba radhi mbele ya hadhara hii[emoji120][emoji120]Niwie radhi mkuu kunifananishana na huyo jambazi.
Nimemkumbuka Matron Lee 😊 kivazi kilikuwa kinamtoa karibia kuliko she wote pale.
Tambi ikiwa nyeupe hivyo naiogopa 🤣🤣Hashimu Spunda Rungwe angepita haya mambo yangekwisha tuchosha muda sana!
Ubwabwa kuku wa kienyeji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2013357
😂😂😂😂 maza mjengoHata mimi ndiyo namsikia ni nani huyu Hangaya?
Ukitaka uone hasara ya gwanda, vita ianze[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unashuhudia rocket zinakula mipodo na mitundu, hutatamani kuvaa huyo kinyonga.Nimemkumbuka Matron Lee [emoji4] kivazi kilikuwa kinamtoa karibia kuliko she wote pale.
Hangaya vazi halijamkaa [emoji23] kuna wanyabe vazi linawatoa mpaka unawatamani.
Palikuwa na mjuba mmoja akipiga ile OGiiii huchoki mwangalia.
WakishuaNimeuliza makusudi[emoji1787]
Afu hili jina sijui ilikuwaje linatrend sana na hamsemi[emoji16] ,mimi nimelijua juzi juzi.