Naamini mkuu, wanyama wamekosa kuongea tu, thats why wana uwezo mkubwa sana wa kuhisi hatari hata kabla hatujafahamu...
Ukiishi nao vyema, utanufaika na kujua mengi..
hakika tumbo langu limepata shibe,
Iv dea kwa milo hii mbna hufutuki? Npe siri ya mafanikio.
Maan mie nikila kdg tyuuh menyu km hiyo, lazma nifutuke, had nawaza kukata utumbo wallah iv.