Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Nikisema hapa wakulungwa watanishambulia.Hapo kuna historia ya maisha! Tafiti vingi hasa maendeleo yamefikaje, tufahamu namna ya kusaidia Tanzania.
La kwanza kabisa, jamaa wanalipa kodi na serikali imekuwa kali sana kwenye kodi. Marufuku kwa Egyptian kutumia foreign currency, Sisi huko tunaona sifa ukiwa na vijidola vyako.
Magufuli alipozipiga pini bureau de change kelele uliziskia bro. Kiufupi Tanzania ina fursa nyingi sana za kutoboa kabla serikali haijagangamala.


