Level zote nimepiga matukio Ila Nipo calm
So walikuwa wanakamatwa wengine mi naachwa
Primary niliiba mapera mwenye shamba akatudaka tumefikishwa shuleni nikaambiwa niende darasani wenzangu wakatembezewa fimbo za kutosha
O level tulikamatwa na konyagi mi nikanuswa sikuwa na harufu wenzangu wakala suspension
A Level nilikuwa navuka kuchaji simu nikikutana na mwalimu sikimbii namwambia tu najisikia vibaya nafuata dawa pharmacy ananiacha
Nna matukio makubwa nikiweka hapa