Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tuendelee kuselfika
20210922_183846.jpg
 
Sinawahi kulisikia hili mkuu. Huko faraghani umemaanisha nini?

Wanapatikana wapi Dar? Wana kanisa? Mchungaji? Askofu?
Huko faraghani ni ibadani.
Faragha ni mahala pa kufanya ibada,,jengo lenyewe ndio linaitwa faragha.


Dar zipo faragha nyingi.
Pale mwanzo nimesema Uwata siyo kanisa Wala dhehebu.,kwahiyo hakuna mchungaji,askofu Wala kanisa.
Uwata kirefu chake ni Uamsho Wa Wakristo Tanzania.
Mtu wa dhehebu lolote anaruhusiwa kwenda kujumuika kwenye huo Uamsho

Inawezekana hujawahi kuwasikia lakini umewahi kuwaona ila hukujua kama ndio hao.
Wanawake huwa wanavaa nguo za marinda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom