Selfika na JF: Snap it. Show it

Elimu ya darasani ni muhimu pia, na njia nyoofu ya kutusua maisha.
Kama ni muhimu basi inabidi kufuata njia nyoofu kuipata.
Ingekuwa rahisi kuipata basi kila mtu angekuwa nayo,na ili uipate ni lazima ukubali kusoma.

Na ili upate uthibitisho(cheti) kwamba umeipata basi ni lazima kupitia mitihani.
Kama mtu hataki mitihani basi asome tu na asifanye mtihani maana anachokitaka ni elimu ..ila hatakuwa na vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cc ukiwa lect, hapanaa wanafunz wote n kudisco tyuuh.
Kama wamesoma vizuri kwanini wadisco?
Mtihani unatungwa kupima kiwango cha uelewa wa somo husika.
Hakuna Mwalimu anatunga mtihani ili mtu adisco,nguvu ya kuelewa ya mwanafunzi ndiyo itakayomfanya adisco au asidisco.

Mbona kuna wanaofaulu ,tena wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wee nae khaaah
mweeeh kale kanyoka kalinitisha yaani nilikuwa jikoni nasonga ugali,nimetoka kidogo narudi nakaona kanajizungusha jikoni
niliruka nikaacha ugali jikoni,nikajikuta nipo nje yaani najiulizaga zile ngazi nilizirukaje sipat jawabu


Huo usiku sikulala humo,nilihama mazima
 
Kna dhehebu flan wao wanavaa sket za marinda tyuuh, jina silijui vzur, sjui UWATA au sjui EFATHA.
Uwata siyo dhehebu.
Ni uamsho ambao mtu wa dhehebu lolote anaruhusiwa kujiunga.
Mtu anabaki na dhehebu lake na ataendelea kusali dhehebuni kwake kama Kawaida ila atatakiwa aende huko faraghani kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wana ujasiri sana aisee
 
Alinkosha pale anasema
"Maana kafiri hazaliwi hutengenezwa na dunia"
 
Aiseeee!!

Kuna jamaa yangu aliuacha uume wake kwenye mkokoteni wa kusukumwa/kokotwa na ng'ombe

Kuna watu wana ujasiri sana kwa kweli
 
Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…