Mmmmh yaani ningepigwa na shoti na kuanguka chini[emoji23],yaani kama vile mie ndo mbwa niliyebanwa na chatuSasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...
Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...
View attachment 2003003
[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]Punguza unoko [emoji23]
Weka hio moja nzuri
Ukiona sehemu mtu anauza unistue na Mimi[emoji16][emoji1787][emoji1787] kwa ali ilivo itabidi nitafute gari la laki tatu niepukane na ii kadhia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namalizia mazoezi ya tumbo, lilimwagika sana jamani. Soon nitakuwa kama hawa wadogo zangu afu nitapost picha kama zoteeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya nani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha dah.Namalizia mazoezi ya tumbo, lilimwagika sana jamani. Soon nitakuwa kama hawa wadogo zangu afu nitapost picha kama zoteeee
Hahaha dah.
Hata me ninalo la kuvimba Ila napost hivyo hivyo [emoji30]
Duuuh mbna hatar sana khaaah.Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...
Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...
View attachment 2003003
Oooh hapo sawa cc.UWATA hao bila Shaka.
Ila me sipo huko, hizi nilinunua 7bu zimekaa kiheshima somehow hata kwa desk church ukikaa hazijivuti magoti yakabaki wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23] cc ukiwa lect, hapanaa wanafunz wote n kudisco tyuuh.Ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na haja ya mtihani na elimu inakuwa Haina maana Tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaaaah weeKuzungukia tu, mbona tuliogelea kabisa...[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmmh yaani ningepigwa na shoti na kuanguka chini[emoji23],yaani kama vile mie ndo mbwa niliyebanwa na chatu
Elimu ya darasani ni muhimu pia, na njia nyoofu ya kutusua maisha.Maisha siyo lazima kila Mtu asome shule ya darasani inayohitaji kufanya mtihani..
Ukiona Mtu ameenda shule inamaana yupo tayari kufuata mfumo uliowekwa,siyo kujitengenezea mifumo yake mingine isiyotakiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaaani navuta picha ningekuwa mwalimu.
Watoto wa watu wangeumia Mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ningekufa hapo hapo ndani ya gari, badala ya pale kichakani.[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama nakuona vile...
Wanyama hawana shida haswa kama sio adui, au kuonyesha kuwadhuru kuna kisa kimoja tulikwenda hifadhi ya wanyama, back in days kuna jamaa flani alishuka toka kwenye gari kwenda kukojoa, katoka nje mpaka kichakani, bi mkubwa wangu akaona mnyama kwenye hiko kichaka, akawaambia waliokuwepo garini jamaa anapopunguzia mafuta kuna mnyama, yule guide kucheki fresh aka confirm ni mzee simba...
Duh jamaa akasema kaeni kimya kabisa muacheni akojoe amalize aingie garini, mkipiga kelele ni hatari mno...
Jamaa akakojoa weeee kwa starehe, si unajua mkojo uliokubana muda mrefu unapopata muda kuuachia[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa akarudi garini akafungua mlango akaketi, wakamuonyesha kwenye kile kichaka kulikua na mzee lion amepumzika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Jamaa ni kama alipigwa shoti msemo wako..
Nilikuwa chalii back in days, siwezi kusahau hiko kisa, ungekuwa ni wewe i think ungezirai kwenye gari[emoji1787][emoji1787]
Nb:sio chai
Yaani[emoji23]. Huyo mbwa tu namuagopa mfano hakuna asee[emoji23],kama ni mie ningemuona huyo lion asee kwanza ningesababisha hatari[emoji23]maana ningepiga yowe[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama nakuona vile...
Wanyama hawana shida haswa kama sio adui, au kuonyesha kuwadhuru kuna kisa kimoja tulikwenda hifadhi ya wanyama, back in days kuna jamaa flani alishuka toka kwenye gari kwenda kukojoa, katoka nje mpaka kichakani, bi mkubwa wangu akaona mnyama kwenye hiko kichaka, akawaambia waliokuwepo garini jamaa anapopunguzia mafuta kuna mnyama, yule guide kucheki fresh aka confirm ni mzee simba...
Duh jamaa akasema kaeni kimya kabisa muacheni akojoe amalize aingie garini, mkipiga kelele ni hatari mno...
Jamaa akakojoa weeee kwa starehe, si unajua mkojo uliokubana muda mrefu unapopata muda kuuachia[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa akarudi garini akafungua mlango akaketi, wakamuonyesha kwenye kile kichaka kulikua na mzee lion amepumzika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Jamaa ni kama alipigwa shoti msemo wako..
Nilikuwa chalii back in days, siwezi kusahau hiko kisa, ungekuwa ni wewe i think ungezirai kwenye gari[emoji1787][emoji1787]
Nb:sio chai
kwann mlimuokoa mbwa??...mlitaka chatu afe njaa mngeacha eco system i take placeSasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...
Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...
View attachment 2003003
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kabisaaahYaani[emoji23]. Huyo mbwa tu namuagopa mfano hakuna asee[emoji23],kama ni mie ningemuona huyo lion asee kwanza ningesababisha hatari[emoji23]maana ningepiga yowe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae khaaahMweeeeeh nilihamaga nyumba kisa katoto ka nyoka[emoji23]