Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni vile tu unafanyaga kama huelewi uzi unataka nini...
Na pia unajua fika wahitaji ni wengi.. Na unajua kubana haswa


Sielewi kwanini napata shauku...
Unadhani makusudi basi; wengine sio photogenic. Upige picha 30, ndiyo upate moja nzuri ya kupost; basi tunajifanya picha sio hobby yetu. Wahitaji wengi wa wapi tena jamani?

Shusha hiyo shauku yako, ili usijekuwa disappointed sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…