Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni vile tu unafanyaga kama huelewi uzi unataka nini...
Na pia unajua fika wahitaji ni wengi.. Na unajua kubana haswa [emoji23]

Sielewi kwanini napata shauku...
Unadhani makusudi basi; wengine sio photogenic. Upige picha 30, ndiyo upate moja nzuri ya kupost; basi tunajifanya picha sio hobby yetu. Wahitaji wengi wa wapi tena jamani?

Shusha hiyo shauku yako, ili usijekuwa disappointed sana[emoji53][emoji53]
 
Unadhani makusudi basi; wengine sio photogenic. Upige picha 30, ndiyo upate moja nzuri ya kupost; basi tunajifanya picha sio hobby yetu. Wahitaji wengi wa wapi tena jamani?

Shusha hiyo shauku yako, ili usijekuwa disappointed sana[emoji53][emoji53]
Wengi tu wa hapa.

Cha kunidisappoint hakipo, bless my evening basi 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…