Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Weka picha




RIP JPM.

Duh!
Sio bia mchumba ni whiskeyDuh!
Mnachanganya bia na malimao?
We inabidi upigwe kitu cha cocktail kwa kuanzia.Duh!
Mnachanganya bia na malimao?
Mbona umekimbia kuleWe inabidi upigwe kitu cha cocktail kwa kuanzia.

Nakuja 🤣🤣🤣
Natishikaje sasa 😆 kuna jambo liliingilia.
Ahaaa weka pembeni hilo jamboNatishikaje sasakuna jambo liliingilia.

Ndio nini hicho?We inabidi upigwe kitu cha cocktail kwa kuanzia.
Mimi vyote naita bia tu.
Sasa Mimi hizo whiskey sijui wiski..mazijulia Wapi??

Sasa Mimi hizo whiskey sijui wiski..mazijulia Wapi??
Ukiona nimesema bia ujue namaanisha pombe unayokunywa![]()



Unaweza ukapokelewa wewe kabla sisi hatujapita ohoo! Dunia hii we acha tu braza. Haina rubani!Msisahau kuna siku mtapita hapa nami nitawapokeaView attachment 1968235