Oooh ahsante,nitafanya maana raia wananiambia upele unamuota asiye na kuchaKatakata mabamia loweka kidogo na maji. 'Sikumbuki kama yanachemshwa or not.
Ila ule utelezi jauthoe nywele ilieleweka na nilipata mara 2 tu.
Jitahidi maana nywele unayo.Oooh ahsante,nitafanya maana raia wananiambia upele unamuota asiye na kuchanataka nianze kuwekeza kwenye nywele
Zimependeza sana,unanywele nyingi hongeraShughuli ya bamia
Inajaza..
Hapa zilikuwa zimekatiwa ile ya kishule kabisa.
mawardat
View attachment 1994247
Mr.uchebe πBeautiful!
Yaani nataka nianze,nitaleta mrejesho hapa,nywele zangu ni nzuri vile tu sifuatilii,Jitahidi maana nywele unayo.
MahitajiAhsante,,,ya bamia unatumiaje?,nielekeze
Haya macho aisehShughuli ya bamia
Inajaza..
Hapa zilikuwa zimekatiwa ile ya kishule kabisa.
mawardat
View attachment 1994247
Hapo bamia ilisaidia dia.Zimependeza sana,unanywele nyingi hongera
Ahsante Sana,ubarikiwe naanza kaziMahitaji
Bamia kumi (10)
Mafuta ya maji (African Black castor oil au coconut oil au olive oil)
Juice ya Tangawizi
Asali
Jinsi ya kuandaa
Osha bamia zako vizuri kuondoa uchafu wote
unaweza kukata kata kuwa vipande vidogo vidogo au ukamenya tu (kuexpose undani wake)
Weka kwenye sufuria yako safi
Ongeza maji kiasi (kikombe kimoja au viwili vinatosha) na ufunike
Chemsha kwa dakika 10 hadi 15 mpaka ile gelly au ute wa bamia uwe umetoka wa kutosha
Epua na uache ipoe kwa dakika kadhaa
Baada ya hapo chuja kuondoa vipeke na upate gelly tuu
Kama unatengeneza steaming
chukua ute ulioupata gawanya mara mbili
Nusu ya kwanza changanya na tangawizi na asali na mafuta yoyote ya kimiminika (hasa Castor oil)
Baada ya kuosha nywele kwa shampoo (hakikisha nywele zako ni safi) paka mchanganyiko kwenye nywele zote
Vaa shower cap au steamer na ukae kwa dakika 30+
Osha kwa maji mengi
Chukua ule mchanganyiko uliobaki changanya na mafuta kijiko kimoja hapa utakua umepata leave in conditioner
Nywele zako zikiwa mbichi na safi pakaa vizuri kuanzia kwenye ngozi hadi kwenye ncha.
Chambua vizuri nywele zako kidodgo kidogo kuhakikisha imeingia vizuri kwenywe nywele zote.
Unaweza kusuka mabutu (bantu knots) au twists za njia mbili au tatu au nywele za mistari kawaida nywele lazima ziwe na unyevu kabisa.
Ukiona zinakauka unanyunyiza maji tena.
Ukimaliza acha zikauke vizuri utaendelea kupaka mafuta yako kama kawaida ili kuzifanya zingβae.
Ukifumua unapata mawimbi mazuri unaweza kubana utakavyo nywele zako.
Ohooo!Mr.uchebe
Process ndio ndefu hivi? Me nilimix bamia na maji tu.Mahitaji
Bamia kumi (10)
Mafuta ya maji (African Black castor oil au coconut oil au olive oil)
Juice ya Tangawizi
Asali
Jinsi ya kuandaa
Osha bamia zako vizuri kuondoa uchafu wote
unaweza kukata kata kuwa vipande vidogo vidogo au ukamenya tu (kuexpose undani wake)
Weka kwenye sufuria yako safi
Ongeza maji kiasi (kikombe kimoja au viwili vinatosha) na ufunike
Chemsha kwa dakika 10 hadi 15 mpaka ile gelly au ute wa bamia uwe umetoka wa kutosha
Epua na uache ipoe kwa dakika kadhaa
Baada ya hapo chuja kuondoa vipeke na upate gelly tuu
Kama unatengeneza steaming
chukua ute ulioupata gawanya mara mbili
Nusu ya kwanza changanya na tangawizi na asali na mafuta yoyote ya kimiminika (hasa Castor oil)
Baada ya kuosha nywele kwa shampoo (hakikisha nywele zako ni safi) paka mchanganyiko kwenye nywele zote
Vaa shower cap au steamer na ukae kwa dakika 30+
Osha kwa maji mengi
Chukua ule mchanganyiko uliobaki changanya na mafuta kijiko kimoja hapa utakua umepata leave in conditioner
Nywele zako zikiwa mbichi na safi pakaa vizuri kuanzia kwenye ngozi hadi kwenye ncha.
Chambua vizuri nywele zako kidodgo kidogo kuhakikisha imeingia vizuri kwenywe nywele zote.
Unaweza kusuka mabutu (bantu knots) au twists za njia mbili au tatu au nywele za mistari kawaida nywele lazima ziwe na unyevu kabisa.
Ukiona zinakauka unanyunyiza maji tena.
Ukimaliza acha zikauke vizuri utaendelea kupaka mafuta yako kama kawaida ili kuzifanya zingβae.
Ukifumua unapata mawimbi mazuri unaweza kubana utakavyo nywele zako.
Hapo bamia ilisaidia dia.
Mimi mvivu sana kushughulika na nywele, hizo ulizoona hapo nimezikata mwezi ulioisha mwishoni.
Ni wewe tu utakavyo amua njia ya kuweka .Process ndio ndefu hivi? Me nilimix bamia na maji tu.
Nikipata muda nitajaribu..
Njoo chemba unieleweshe namna ya kuweka stickers Kwa picha Kuna picha nataka kuwekaπππ
Jitupie kidogo pot
Are you me , you are me meBinafsi navutiwa mno na mdada mwenye short hair halafu mweusi.nimekuwa mkweli kwakweli
Sheikh wewe muimbishe vizuri songi mbona ataelewa tuπ. Saint Anne muelewe basi mwenzio πFanya basi kumshawishi anikubali ntakupa zawadi nzuriii. ππ
Yes yes we weπ€£π€£π€£π€£Are you me , you are me me
π π π π
Dunia ina mambo hii jamani!! Watuhumiwa nao wanatuhumu wengine
Alooo me kuna mpuuzi m1 ningehakikishiwa kwa asilimia zote hakiii nilikuwa nalala nae mbele. Sema tu yule binti alijifanya haoni ile PM mpaka nilipopoa.
Nilisikia eti wana group sijui ka mtandao wakiitaka ni hawaikosi afu at the end wanatafuta mtu wa kumtupia msala kujiswafi.
Shenzi zao.