Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulitumia dawa ya kopo au box ?
Huwa unazifanyia Natural steaming ??
Dawa ya kopo

Steaming......Nilifanyiaga mara moja tu kwa majani ya mapera
nywele zilinywea balaa vilikuwa vidogo

Tokea hapo sijawahi kufanyia tena,natumia tu mafuta ya nazi ya maji,hivyo nikitumia Mafuta ya mgando kwaajili ya nywele huwa zinakatika Sana.
 

Wanapoteza tu muda wao ambao wangefanya vitu productive

Ni utoto mno mi sijali hata robo yaani hata wakipata na ya uchi wasambaze tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…