Selfika na JF: Snap it. Show it

Konekisheni dar ina maana moja tu.
Kama unakonekisheni yoyote nipatie na mimi.
 
Mtakatifu mwandiko wako unaonesha mtu akisema suu unayabwaga bwaaa


Yes hakuna haja ya kusema unatoka na nani huo ni utoto uliopitiliza viwango

Mweee , kumbe nina utoto
nishamtaja Palladino wangu,kila siku naimba mashairi humu
.


Jini mkata kamba asije tu kukata hili penzi jamani,,nitamuuwa huyo jini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes mtu unaweza dhani upo kwenye mahusiano,.kumbe uko singo.

Mwenzio anakuchora na hasemi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…