Selfika na JF: Snap it. Show it

Konekisheni dar ina maana moja tu.
Kama unakonekisheni yoyote nipatie na mimi.
 
Mtakatifu mwandiko wako unaonesha mtu akisema suu unayabwaga bwaaa[emoji1][emoji1]

Yes hakuna haja ya kusema unatoka na nani huo ni utoto uliopitiliza viwango
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mweee , kumbe nina utoto[emoji134][emoji134]nishamtaja Palladino wangu,kila siku naimba mashairi humu[emoji38].


Jini mkata kamba asije tu kukata hili penzi jamani,,nitamuuwa huyo jini[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes mtu unaweza dhani upo kwenye mahusiano,.kumbe uko singo.

Mwenzio anakuchora na hasemi[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…