Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Akisema ni mchumba wa nani humu JF hakyamama tena natembea utupu kwenye mwandiko😁😁utajua hujui🤪🤪🤪

Mwanamke kamili hawezi sema hii kitu hadharani Shemdarling niamini.
🤣🤣🤣🤣🤣 Nilipitwa na hii 😂😂😂🙈🙈

Chakorii umenikumbusha this girl tulifanyaga kazi flani hivi pamoja. Sasa boss wetu alikuwa boss kweli (awfully good looking, very well established, fashionable kinoma) ila mshkaji sana. Yani hana mbwembwe kabisa....sasa sijui this girl sijui alikuwa amezingua nini so boss akamuuliza au umemmiss sana babe wako mpaka kazi inakataa?? And she outright said "MI SINA BOYFRIEND!!!"

Baadae tukamuuliza duuude...mbona unasema uko single and you are not. Akatuchana eti kuna watu hata kama iweje hutakiwi kujidai eti ushachukuliwa. Akajazia we ukikutana na Diamond saa hizi unamuambia una mtu???

I was just like 🙄🙄🙄🙄
 

Umesema utupu wa mwandiko, natamani kuona unafananaje.

Ila bahati mbaya Lizzy hajataja mcchumba wake,

Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁utachonga viazi.

Sio Lizzy tu hata kama ningekuwa ni mimi trust me nisingelimtaja wala kuwa na mategemeo ya kumtaja

Listen mtakatifu wangu kuna mambo lazima yabaki kuwa sirini.kuna watu humu ndan wapo ..tena wapo sanaaaa lakini hawataki kujulikana Kabisa na ukifanya kitu cha kuwafanya wajulikane Hapo hapo unawapoteza.so inabidi tujifunze kuwa na breki ya maneno..tujifunze kuto kuropoka itatusaidia pia kukutana na watu wa maana wakatupatia koneksheni za maisha
 
utachonga viazi.

Sio Lizzy tu hata kama ningekuwa ni mimi trust me nisingelimtaja wala kuwa na mategemeo ya kumtaja

Listen mtakatifu wangu kuna mambo lazima yabaki kuwa sirini.kuna watu humu ndan wapo ..tena wapo sanaaaa lakini hawataki kujulikana Kabisa na ukifanya kitu cha kuwafanya wajulikane Hapo hapo unawapoteza.so inabidi tujifunze kuwa na breki ya maneno..tujifunze kuto kuropoka itatusaidia pia kukutana na watu wa maana wakatupatia koneksheni za maisha


Kweli umemenena vizuri .
Hata ningekuwa mimi nisingeweza kutaja.

Mambo ya kumtangaza mtangaza mtu baadaye kitumbua hutiwa mchanga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi najua kuwa mwaka huu tuna kikosi dhaifu kuweza kushindana, lakini wale Wabotswana sikutegema kama wangeweza kutufunga nyumbani tena kikatili vile.

Kulikuwa na haja gani kuwauza Chama na Miuquession kwa pamoja wakati hatujapata mbadala wao?

Simba ya Mwaka huu haitaweza Kushinda Kombe lolote kwa kuwa haina kikosi kizuri kama cha mwaka Jana
Afadhali mmewauza. Mlisumbua saaana.
Mlimufanya dada yangu Shadeeya asiwe na amani
 
[mention]Lizzy [/mention] It has been 10 years

IMG_2182.jpg
 
Back
Top Bottom