Tangu nimefika Dar hii ni mara yangu ya pili kupanda daladala.
Hakiyanani nimeteseka Leo,yaani Korogwe hadi Kimara mwisho kwa mwendokasi huwa natumia dakika 2 hadi tatu.
Leo nusu saa nzima
Nimeshangaa utaratibu wa kudandia gari kabla haijasimama,na abiria waliofika hawajashuka Bado
.
Nilishangaa pia daladala za Dar hazina maandishi nyuma Na mbele kama Mbeya.
Yote tisa, kumi Zile ngazi za lift zinazotembea,pale City Mall aisee zilinitoa jasho Mno.
Huyo wa daladala ya gerezani
Sent using
Jamii Forums mobile app