Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole Mdogo wangu..
Acha TU
Nina keki hapa na box langu nikawa natoa tu macho,, Yaani nimeshangaa watu wanadandia gari kabla haijasimama
Daslam
JPEG_20211015_193218_1131622508335816184.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oh pole sana Mtumishi.
Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu katika kipindi kigumu unachokipita,,faraja Yake Mungu ipitayo zote ikufariji moyo wako .

Sorry for your loss .
Alikuwa ni nani huyo????Naomba uniambie kama hautajali.


Nikasema Baba Mtumishi kweli amekaa kimya siku zote hizi bila hata kunijulia hali Mimi Mama Mtumishi!
2 Samuel: 1- 26

"26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake"


Mtumishi mwenzangu,

Kumuelezea huyu ndugu, nitumie hayo maneno ya mtumishi mwenzetu Daudi alipokua akiomboleza kuondokewa na rafiki yake Jonathan.

Huyu hakua ndugu wa damu. Alikua brother & bestfriend.

Kando na familia yangu, sikumbuki kuwa connected na mtu kama yule mwamba.

Ahsante sana mtumishi mwenzangu. AMEN

Mungu anabaki kuwa Mungu, regardless 🙏
 
2 Samuel: 1- 26

"26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake"


Mtumishi mwenzangu,

Kumuelezea huyu ndugu, nitumie hayo maneno ya mtumishi mwenzetu Daudi alipokua akiomboleza kuondokewa na rafiki yake Jonathan.

Huyu hakua ndugu wa damu. Alikua brother & bestfriend.

Kando na familia yangu, sikumbuki kuwa connected na mtu kama yule mwamba.

Ahsante sana mtumishi mwenzangu. AMEN

Mungu anabaki kuwa Mungu, regardless
I feel sorry for you baba mtumishi.
Ila Nina imani tutaonana naye Mbinguni,,


Umenikumbusha rafiki yangu mmoja jirani wa tangu utoto alipofariki,,hadi leo sijapata rafiki kama Yeye...
Baba yake huwa ananiita jina lake,maana tulikuwa kama mapacha .
Naelewa kufiwa na best friend jinsi kunavyoumiza.

Mungu akutie nguvu baba nakuombea.

Selfika Kidogo baba mtumishi nafsi yangu ifurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I feel sorry for you baba mtumishi.
Ila Nina imani tutaonana naye Mbinguni,,


Umenikumbusha rafiki yangu mmoja jirani wa tangu utoto alipofariki,,hadi leo sijapata rafiki kama Yeye...
Baba yake huwa ananiita jina lake,maana tulikuwa kama mapacha .
Naelewa kufiwa na best friend jinsi kunavyoumiza.

Mungu akutie nguvu baba nakuombea.

Selfika Kidogo baba mtumishi nafsi yangu ifurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen mama mtumishi. ahsante kwa maombi.

Pole kwa kumpoteza jirani & rafiki.

Ofcourse, nakuelewa vizuri katika hili, nadhani kwenye maisha kuna watu ni very unique.

Kuna aina ya watu hawana copy zao kabisa, not even bad copies.

Yote kwa yote tunamshukuru Mungu.

Selfie...nadhani wacha kwanza kazi iendelee. Nasema uongo mama mtumishi?

IMG_20211015_202550_3.jpg
 
Back
Top Bottom