Ungeingilia kati kidogo majirani gani nyie waoga hivyo mnataka mtu auliwe ndiyo mseme mtoe ushuhudaMwili wenyewe wa kunipiga uko wapi
Atakayenipiga anatafuta kesi tu..mtu mwenyewe mdhaifu baadhi ya viungo halafu nipigwe tena!!
Last time nyumbani sijui nilipigwa lini,i guess nikiwa primary..tena na mama..baba yangu hakuwahi kunipiga hata siku moja.
Mimi ikitokea kesi huwa sikimbilii kubishana, nakimbilia kulia..nikilia tu huwezi endelea kunilaumu..utaanza nibembeleza huku ukisema"usirudie tena"
Huwa vinanoga sanaaaa ,na mfanye huku mnaongeaIla haya maisha
Yaani mtu anatoka kukudunda halafu unapenda tena kumpa.
Dah!tutafika Mbinguni tumechoka Sana.
1, 2, &3 🥂
Kumbeeeee ndiyo mlivyoSiyo kwa vipigo vile
Hadi nyumba jirani navisikia.
Sema atakuwa ameshambembeleza,wameingia ndani kufanya yao..hakuna mkate mgumu mbele ya chai .
Ila ningekuwa mimi huyo mwanaume naye cha moto angekiona..ningejilegeza wiki nzima hadi aombee poo.
Jirani anapigwa hata hampigi simu polisi mnataka jamii iteketee, kama huko kagaera jana jamaa kampiga mke wake mpaka kaua, sasa mkikaa kimya mnakuza magomvi, ila na wakina mama nyie mpunguze maneno huwa mnaongea sana yani kipigo kinaanza nawe unajibu mashambulizi kwa mdomoYaani lazima mtu hapo usitamani siku moja nilipopanga mdada huyo kapigwa na mchumba balaa toka saa moja asubuhi ni kichapo tu .
Nguvu zinatokea wapi , ama kweli wazazi wetu walivumilia sana ...
Maisha ya kijijini safi sana ila unatakiwa uzitafute mjini ukazilie kijijini
Wanawake hatuwezi ingilia ugomvi , Mimi navyoona unaweza ukaita watu wengine waje wasaidie au ndo uite polisi wafike eneo la tukio .Jirani anapigwa hata hampigi simu polisi mnataka jamii iteketee, kama huko kagaera jana jamaa kampiga mke wake mpaka kaua, sasa mkikaa kimya mnakuza magomvi, ila na wakina mama nyie mpunguze maneno huwa mnaongea sana yani kipigo kinaanza nawe unajibu mashambulizi kwa mdomo
Ewaaa afadhali mnajijua tena nyie wa pwani nyieAisee hapo kwa kuongea tupo vizuri ,
Midomo inatuponza hii jamani ...
Marehemu Mitimingi alisema hivi;"mwanaume anaambiwa ukweli kwa njia ambayo ni nzuri,na si kufokewa"
Hata kama ni kweli ana kosa..ukimfokea unafyatua kichwa chake .
Kikishafyyatuka lazima akufyatue.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahEwaaa afadhali mnajijua tena nyie wa pwani nyie
Hahahah
Wengine sisi keyboard warriors hatuna lolote aiseeukikutana na sisi live wapole
Kuna haja ya kubadilika aisee maana tutachezea vipigo vya mbwa koko
Well said ,
Maana imeandikwa katika Wakolasai 3:18
Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
Well said ,
Maana imeandikwa katika Wakolasai 3:18
Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
Kujitetea muhimu aisee 🤣Kwa utetezi utafikiri umesomea sheria
Sisi ni natural talkers hilo sikatai kabisaAsili ya mwanamke ni mdomo ona na hili andiko hapa linawakanya
Mwanamke mgomvi
Mithali 25:24:-Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini , kuliko kukaa katika nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
Ongea.Ha ha ha
I reserve my comment.