Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo unakuta anakazia"yaani watoto wa siku hizi mmeharibika"

Wengine fellowship zetu kuvaa bra ni makosa.. inatakiwa kuvaa shimizi.
Anasema sasa mfano teja akikushika utamlaumu nani 😂

Hehhee noma sana. Me mama alikuwa ananikataza eti bra zinaharibu manyonyo. Anadai zinafanya yalale.. Nikamwambia yakiamua kulala yalale maana yatakuwa yamechoka kusimama 😂.

Walinifundisha kuboost si nikanogewa na bra za sponge, naboost nalegeza skafu na kakifungo kamoja wazi( nasikia raha kichizi mpaka siku nikajadakwa na afande akanipeleka kwa matron. Nilikula mboko, after there nikanunua ma spider kibao
 
Anasema sasa mfano teja akikushika utamlaumu nani

Hehhee noma sana. Me mama alikuwa ananikataza eti bra zinaharibu manyonyo. Anadai zinafanya yalale.. Nikamwambia yakiamua kulala yalale maana yatakuwa yamechoka kusimama .

Walinifundisha kuboost si nikanogewa na bra za sponge, naboost nalegeza skafu na kakifungo kamoja wazi( nasikia raha kichizi mpaka siku nikajadakwa na afande akanipeleka kwa matron. Nilikula mboko, after there nikanunua ma spider kibao

Haya mambo magumu.


Wengine hawataki zivaliwe,wengine wanataka zivaliwe...Sasa Sijui Tufwate lipi?!!


Kwahiyo ukalambwa fimbo?
 
Back
Top Bottom