100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,788
- 30,947
...sound too good to be trueHiyo ndo Vodacom mtandao unaongoza Tanzania .
Kote wamepunguza vifurushi .
...sound too good to be trueHiyo ndo Vodacom mtandao unaongoza Tanzania .
Kote wamepunguza vifurushi .
MimiiiiiiiiiNani anamjua fundi anayeweza kushona hivi??
Ila juu iwe nikono ya staha.View attachment 1970562
Wow umependeza.




Naingia kulala now, nimeshakunywa za kutosha hadi nimeanza kuhaidi vijana kazi wakati me mwenyewe natafuta kazi
Goodnight guys![]()




AsanteWow umependeza.
Zawadi yangu bado nakumbuka![]()
Niambie uko wapi nije ichukua.Asante
Zawadi yako ipo
,tupige na kaselfie.Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...😁😁😁, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...😄😄😄
😄😄 Uzuri ni kwamba I'm a risk taker.....na PGO naijua vizuri so ....I DARE YOU 😜😜😜Usijaribu ukali wa sumu kwa ......?, umeniruhusu, tusije anza kukaririshana PGO...
Aiseeeeeeeee!!Balaa zitoView attachment 1970245
Ninalo bhasi la kuongea mkuuOngea
na umeleta mahala pake tuanze kuburudika
.Amelitoa ua usoni ili aone uso wa Lizzy eti eeeee?Haaa, kwa uliyofanya hapo nina uhakika na ua usoni umelitoa ila ukalirudishia tena tusione![]()
😆😆😆Naoma Mambo uliyofanya jana yamekalikana umeleta mahala pake tuanze kuburudika
.
Naomba nirudishie hela yangu maana utabiri wako sio kabisa. Just went to pick something up...
Bei gani, Lete payment details