Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Boss huwa hadaiwi kwa nguvu...Bei gani, Lete payment details
![]()
Ukishamwambia "nakudai" unamuacha amount aamue mwenyewe π
Boss huwa hadaiwi kwa nguvu...Bei gani, Lete payment details
![]()
Boss huwa hadaiwi kwa nguvu...
Ukishamwambia "nakudai" unamuacha amount aamue mwenyewe![]()



Noma sana.Zenjibar πBonge la location![]()
Hizo services ni first class so asante sana π€π€Yule bodyguard nimemtimua, nimemleta mwingine, huyo ametoka Russia hajui English wala Swahili, sijui utamshawishi vipi, sasa hivi kokote unapokwenda ni kupaa angani tu, hata sokoni unakwenda kama first lady...πππ
View attachment 1970971
expenses zote kuanzia salary ya rubani, inspections,fuel za hio chopper mpaka maintenance ni juu yangu...π
Lizzy
hapo nimeweka mpaka aliens, ujue kuna vitu huvioni ila wao wananitumia picha tu huku mi nacheka, kuna watu wanaingia na kutoka huwezi kuwaona(wa ulimwengu mwingine) πππ... walinzi wengine hawaonekani kwa macho... bado mie mshindi...πππHizo services ni first class so asante sana π€π€
Buuuuut...kabla hujaendelea kufurahia ushindi ambao bado hujapata just know I'm friends with one Alex Lunkov...View attachment 1970989
Na maneno mawili matatu sikosi,so.....don't celebrate too soon.π
Yule bodyguard nimemtimua, nimemleta mwingine, huyo ametoka Russia hajui English wala Swahili, sijui utamshawishi vipi, sasa hivi kokote unapokwenda ni kupaa angani tu, hata sokoni unakwenda kama first lady...πππ
View attachment 1970971
expenses zote kuanzia salary ya rubani, inspections,fuel za hio chopper mpaka maintenance ni juu yangu...π
Lizzy

.naomba unielekeze huyo fundi,,siku nikiokota hela naenda kushona gauni kama hiloπ