Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunaomba Aircraft registration license, Landing Fee Boss, Na Work permit ya Huyo Mkulungwa .
sasa NDINDA kama mnataka vikwazo endeleeni kuuliza vibali, nipo nyuma ya watu wakubwa...😎😎😎...

twitter JB amekiwasha huko, nimempigia simu...amekujibu na tweet... kama Lizzy amekutuma mwambie hachomoki..

tweet_post (2).png
 
sasa NDINDA kama mnataka vikwazo endeleeni kuuliza vibali, nipo nyuma ya watu wakubwa...😎😎😎...

twitter JB amekiwasha huko, nimempigia simu...amekujibu na tweet... kama Lizzy amekutuma mwambie hachomoki..

View attachment 1971165
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Inabidi nitulie tu sasa maana kama JB anahusika hamna namna.🥴🥴 Labda nihamie kwa Kim Jong Un ndo angalau ntakuwa na chakusema.😒
 
Back
Top Bottom